Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Nikweli jamaa yuko poa mnoHata Aloyce Nyanda ni mzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli jamaa yuko poa mnoHata Aloyce Nyanda ni mzuri
Saa 3 na nusu ?Star TV leo Jumamosi Saa 3, kutakuwa na Tundu Lissu
Hebu nisogee kwenye runinga
Ila amesharudi kijani...asikiaye na afahamu alikuwa mzuri mno mno.Nikweli jamaa yuko poa mno
Ila nimependa lissu ni mkweli sana,yuko clear na honest kuliko yule NYERERE YERICKO NI MBABAISHAJI SANA.Lissu anakubali kuwa amepokea fedha za mchango wa gari kutoka CCM
Kambana vizuri saaaana mpaka ncheka hapa.Join the chain yamtoa jasho Lissu. Odemba kambana kisawasawa.
Nyanda anazunguka sana, haulizi swali likaeleweka Moja Kwa mojaHata Aloyce Nyanda ni mzuri
Ninachompenda Lissu ni mtu mkweli mno huyu jamaa kitu ambacho kinamkosesha sifa ya kuwa mwanasiasaKambana vizuri saaaana mpaka ncheka hapa.
Anaulizwa wewe umefanya jitihada gani kuhakikish fedha hizo zinakuwa wazi ? Lissu anajiumauma..
Odema kambananisha vyema sana,mpaka lissu anakubali kwamba pesa hizo kutokuwa wazi haileti picha nzuri.
Lissu amekiri pia kwamba kuondoka kwa msigwa ni pigo ila yericko nyerere alisema sio pigo.
Kabisa mkuu hata mimi nimependa anavyojibu honestly kabisa.Ninachompenda Lissu ni mtu mkweli mno huyu jamaa kitu ambacho kinamkosesha sifa ya kuwa mwanasiasa
Bwana myanda anatafuta maneno laini ya kuuliza ili asionekane mtata,kumbe kuna mambo lazima uulize direct kwa mhusika no mbambambaNyanda anazunguka sana, haulizi swali likaeleweka Moja Kwa moja
Angalia hapo lissu kanyoosha tu kuwa viongozi wa chadema ndio walimleta abdul kwake wala hakutaka kuficha...baadae tena anasema kabisa ndani ya chadema kuna pesa chafu sana,,,,angeulizwa hilo swali Yeriko angejibu ukweli?Kabisa mkuu hata mimi nimependa anavyojibu honestly kabisa.
Tkfauti na yericko nyerere alivyokuwa analeta ujuaji na kufichaficha majawabu ya wazi.
Kwanini hajataja orodha ya waliopokea hizo fedha?Angalia hapo lissu kanyoosha tu kuwa viongozi wa chadema ndio walimleta abdul kwake wala hakutaka kuficha...baadae tena anasema kabisa ndani ya chadema kuna pesa chafu sana,,,,angeulizwa hilo swali Yeriko angejibu ukweli?
Abdul ndie muhusika mkuu kwahiyo lazima atajweKwanini hajataja orodha ya waliopokea hizo fedha?
Unapotoa ushahidi lazima uwe complete. Kama anaweza kumtaja Abdul bila woga, ninini kinamshinda kuwataja hao viongozi/ wanachama wa CDM, hasa ukuzingatia yeye ni Makamu Mwenyekiti?
Asingejibu bwana yericko,yericko hana uweledi nilimuona kwemye mahojiano yake majuzi.Angalia hapo lissu kanyoosha tu kuwa viongozi wa chadema ndio walimleta abdul kwake wala hakutaka kuficha...baadae tena anasema kabisa ndani ya chadema kuna pesa chafu sana,,,,angeulizwa hilo swali Yeriko angejibu ukweli?