Eeh Mungu, Waadhibu vikali wote waliochonga kesi ya Mbowe

Eeh Mungu, Waadhibu vikali wote waliochonga kesi ya Mbowe

Fundi Madirisha

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
184
Reaction score
988
Nilifanya Maombi kwa kupiga magoti na kufunga ili Mungu awaadhibu vikali wote waliodhamiliakumuuwa Mhe Tundu Lisu, ninaamini maombi yalipokelewa na yaliitikiwa kwa imani yangu. Huyu Mungu muumba wa ardhi na Mbingu, ndiye aliyeumba viumbe vyote na vyote viko chini ya himaya yake. Anatenda miuzijaza .

Hawa watu ni wabaya sana wasiokuwa na huruma kwa tamaa zao za madaraka ikiwa kweli wamembambikizia Mhe Mbowe kesi. Nasema na naamrisha nguvu za Majeshi ya Mungu yashughulike nao mara moja na wote pamoja na vizazi vyao. Na ikiwa Mbowe alifanya vitendo vya kigaidi basi Mungu ashughulike naye mara moja.

Hawa watu kama kweli wametenda uovu huu kwa makusudi basi wafe wote na waangamie na vizazi vyao. Huwezi kumsingizia kesi kubwa kiasi hiki mtu ambaye hana skendo hata ya kuchapa mtu fimbo katika mahakama yeyote. Hawa ni watu wa ibilisi , Mungu asijue maombi yangu ikiwa Mbowe hakutenda Ugaidi wowote. Mungu ni wa wote, ana huruma na anasikia maombi.

Hakuna faida yeyote katika taifa kumsingizia Mbowe kesi, hakuna faida yeyote ya kumlaza Mbowe magereza na kumpotezea muda wake ikiwa hakutenda kosa. Kumfunga Mbowe hakutasaidia chochote zaidi ya chuki katika taifa. Kwa mantiki hiyo nawashtaki kwa Mungu ikiwa mashtaka haya ni ya Uongo na atatenda. Nitafunga na kupiga magoti Mbele za Mungu juu ya hili.
 
Acheni mahakama itende haki. Adui haombewi kifo anaombewa maisha marefu ili aone kuu wa Mungu. Sasa wewe Mura unaombea watu wafe?
 
Nilifanya Maombi kwa kupiga magoti na kufunga ili Mungu awaadhibu vikali wote waliodhamiliakumuuwa Mhe Tundu Lisu, ninaamini maombi yalipokelewa na yaliitikiwa kwa imani yangu...
Amina
 
Acheni mahakama itende haki. Adui haombewi kifo anaombewa maisha marefu ili aone kuu wa Mungu. Sasa wewe Mura unaombea watu wafe?
Nani kakudanganya kuwa adui anaombewa maisha marefu?

Adui anaombewa njaa na maradhi ili ateseke hapa hapa duniani.
 
Hii kesi haitawaacha salama,hasa hawa ndugu zetu mashahidi wa mchongo ma watesaji.
Hilo balaa litakaloenda kwao na kwa vizazi vyao,watajuta!
Mungu ange washushia dhahama ya kupatwa na ukoma wale woote walio andaa huo mchongo.
 
Nilifanya Maombi kwa kupiga magoti na kufunga ili Mungu awaadhibu vikali wote waliodhamiliakumuuwa Mhe Tundu Lisu, ninaamini maombi yalipokelewa na yaliitikiwa kwa imani yangu. Huyu Mungu muumba wa ardhi na Mbingu, ndiye aliyeumba viumbe vyote na vyote viko chini ya himaya yake. Anatenda miuzijaza...
Amen
 
Mboe analipia uovu wake.

kuna uovu mwingi aliufanya kwa siri na wazi sasa ulimwengu unamfumdisha.

ni vyema ktk kipindi hiki anacho pitia akatubia.
 
Ninachomwomba Mungu ni hiki ambaye anahatia juu ya hii kesi iwe ni waliotuhumu au mtuhumiwa mwenyewe aadhibiwe vikali na MUNGU mwenyewe maana Mungu ndiye hakimu wa HAKI🙏🙏🙏
 
Nilifanya Maombi kwa kupiga magoti na kufunga ili Mungu awaadhibu vikali wote waliodhamiliakumuuwa Mhe Tundu Lisu, ninaamini maombi yalipokelewa na yaliitikiwa kwa imani yangu...
Tutaomba ufanyike upya uchunguzi kuhusiana na kifo cha Marehemu Chacha wangwe!

Mbowe anajua undani wake vizuri.

Yeye na Deus Mallya wanayo kesi nyingine ya kujibu.

Hata Mbowe analijua hilo,tangu alipoponea chupuchupu na kuokolewa na Polisi kule Tarime. Toka kwenye mazishi ya Wangwe.
 
Tutaomba ufanyike upya uchunguzi kuhusiana na kifo cha Marehemu Chacha wangwe!

Mbowe anajua undani wake vizuri.

Yeye na Deus Mallya wanayo kesi nyingine ya kujibu.

Hata Mbowe analijua hilo,tangu alipoponea chupuchupu na kuokolewa na Polisi kule Tarime. Toka kwenye mazishi ya Wangwe.
aise!
atalipia hapa duniani na mbele za Mungu.
anaponzwa na uchu...alidhni uingozi unatafutwa kijnga namna hiyo......sasa yamemtokea puani.
 
Nilifanya Maombi kwa kupiga magoti na kufunga ili Mungu awaadhibu vikali wote waliodhamiliakumuuwa Mhe Tundu Lisu, ninaamini maombi yalipokelewa na yaliitikiwa kwa imani yangu. Huyu Mungu muumba wa ardhi na Mbingu, ndiye aliyeumba viumbe vyote na vyote viko chini ya himaya yake. Anatenda miuzijaza .

Hawa watu ni wabaya sana wasiokuwa na huruma kwa tamaa zao za madaraka ikiwa kweli wamembambikizia Mhe Mbowe kesi. Nasema na naamrisha nguvu za Majeshi ya Mungu yashughulike nao mara moja na wote pamoja na vizazi vyao. Na ikiwa Mbowe alifanya vitendo vya kigaidi basi Mungu ashughulike naye mara moja.

Hawa watu kama kweli wametenda uovu huu kwa makusudi basi wafe wote na waangamie na vizazi vyao. Huwezi kumsingizia kesi kubwa kiasi hiki mtu ambaye hana skendo hata ya kuchapa mtu fimbo katika mahakama yeyote. Hawa ni watu wa ibilisi , Mungu asijue maombi yangu ikiwa Mbowe hakutenda Ugaidi wowote. Mungu ni wa wote, ana huruma na anasikia maombi.

Hakuna faida yeyote katika taifa kumsingizia Mbowe kesi, hakuna faida yeyote ya kumlaza Mbowe magereza na kumpotezea muda wake ikiwa hakutenda kosa. Kumfunga Mbowe hakutasaidia chochote zaidi ya chuki katika taifa. Kwa mantiki hiyo nawashtaki kwa Mungu ikiwa mashtaka haya ni ya Uongo na atatenda. Nitafunga na kupiga magoti Mbele za Mungu juu ya hili.
Mungu akosei,,sema Amin .

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Nilifanya Maombi kwa kupiga magoti na kufunga ili Mungu awaadhibu vikali wote waliodhamiliakumuuwa Mhe Tundu Lisu, ninaamini maombi yalipokelewa na yaliitikiwa kwa imani yangu. Huyu Mungu muumba wa ardhi na Mbingu, ndiye aliyeumba viumbe vyote na vyote viko chini ya himaya yake. Anatenda miuzijaza .

Hawa watu ni wabaya sana wasiokuwa na huruma kwa tamaa zao za madaraka ikiwa kweli wamembambikizia Mhe Mbowe kesi. Nasema na naamrisha nguvu za Majeshi ya Mungu yashughulike nao mara moja na wote pamoja na vizazi vyao. Na ikiwa Mbowe alifanya vitendo vya kigaidi basi Mungu ashughulike naye mara moja.

Hawa watu kama kweli wametenda uovu huu kwa makusudi basi wafe wote na waangamie na vizazi vyao. Huwezi kumsingizia kesi kubwa kiasi hiki mtu ambaye hana skendo hata ya kuchapa mtu fimbo katika mahakama yeyote. Hawa ni watu wa ibilisi , Mungu asijue maombi yangu ikiwa Mbowe hakutenda Ugaidi wowote. Mungu ni wa wote, ana huruma na anasikia maombi.

Hakuna faida yeyote katika taifa kumsingizia Mbowe kesi, hakuna faida yeyote ya kumlaza Mbowe magereza na kumpotezea muda wake ikiwa hakutenda kosa. Kumfunga Mbowe hakutasaidia chochote zaidi ya chuki katika taifa. Kwa mantiki hiyo nawashtaki kwa Mungu ikiwa mashtaka haya ni ya Uongo na atatenda. Nitafunga na kupiga magoti Mbele za Mungu juu ya hili.
MUNGU HADHIHAKIWI wote Watalipwa kwa Ukubwa wa MAOVU YAO
 
Nilifanya Maombi kwa kupiga magoti na kufunga ili Mungu awaadhibu vikali wote waliodhamiliakumuuwa Mhe Tundu Lisu, ninaamini maombi yalipokelewa na yaliitikiwa kwa imani yangu. Huyu Mungu muumba wa ardhi na Mbingu, ndiye aliyeumba viumbe vyote na vyote viko chini ya himaya yake. Anatenda miuzijaza .

Hawa watu ni wabaya sana wasiokuwa na huruma kwa tamaa zao za madaraka ikiwa kweli wamembambikizia Mhe Mbowe kesi. Nasema na naamrisha nguvu za Majeshi ya Mungu yashughulike nao mara moja na wote pamoja na vizazi vyao. Na ikiwa Mbowe alifanya vitendo vya kigaidi basi Mungu ashughulike naye mara moja.

Hawa watu kama kweli wametenda uovu huu kwa makusudi basi wafe wote na waangamie na vizazi vyao. Huwezi kumsingizia kesi kubwa kiasi hiki mtu ambaye hana skendo hata ya kuchapa mtu fimbo katika mahakama yeyote. Hawa ni watu wa ibilisi , Mungu asijue maombi yangu ikiwa Mbowe hakutenda Ugaidi wowote. Mungu ni wa wote, ana huruma na anasikia maombi.

Hakuna faida yeyote katika taifa kumsingizia Mbowe kesi, hakuna faida yeyote ya kumlaza Mbowe magereza na kumpotezea muda wake ikiwa hakutenda kosa. Kumfunga Mbowe hakutasaidia chochote zaidi ya chuki katika taifa. Kwa mantiki hiyo nawashtaki kwa Mungu ikiwa mashtaka haya ni ya Uongo na atatenda. Nitafunga na kupiga magoti Mbele za Mungu juu ya hili.
Mungu ameshasikiliza Maombi yetu
 
Back
Top Bottom