Kuhabarishwa kwamba Kuna binadamu kwenye maumbile ya mnyama punda ni kosa? Sasa tungejuaje kwamba umbaji ulikosewa badala ya kuwekewa punda akawekewa binadamu
Media za bongo hazina content.Vipindi vya kijinga ni vingi sana badala ya vya maana.Miaka michache ijayo tasnia ya habari itakufa kifo fufu,nafasi yake itachukuliwa na mitandao ya kijamii.