Ww ndo mpumbavyo kww kuamini hayo maandamano ya chochote cha maanaNi wapumbavu watakaodhani kuwa maandamano ya CHADEMA hayana impact. hao ni wapumbavu tu kama wapumbavu wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww ndo mpumbavyo kww kuamini hayo maandamano ya chochote cha maanaNi wapumbavu watakaodhani kuwa maandamano ya CHADEMA hayana impact. hao ni wapumbavu tu kama wapumbavu wengine
Lakini si haki yao kikatiba?Ni ukweli usio pingika chadema maandamano haya impact yeyote ile kwa mtawala
Kama kweli wana nia umeme unakatika wengi direct watu tanesco ...
Au wangeendamana dodoma makao makuu ya nchi waibane viongozi
Ulikuwa hujui?Kumbe Efm inamilikiwa na CCM siku hizi siisikilizi wala kutazama tena.
Ni issue ya mudaKila ubaya utalipwa tu
Usiunge mkono lakini usikejeli maana ni wananchi wanaopigania haki zao dhidi ya maumivu ya maisha yaletwayo na serikali kwa njia ya kidemokrasia.Sasa chadema mnataka kila mtu ashangilie maandamano yenu? Nyie neno demokrasia mnalionaje?
Hawa nyau wangejifunza kwa Musiba Leo anaishi kama digidigi,au wamuulize Doto alikuwepo eneo la tukioKupitia kwenye ukurasa wao wa Instagram, Radio ya EFM imepost video inayoashiria kuwa ni kejeli kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Kwenye video hiyo iliyopewa Title "Subiri pajae ndio upige picha" wanaonekana watu wanaandamana halafu anatokea mwandishi wanamzonga asipige picha mpaka watu wajae.
Kwa upande mwengine kwenye hiyo video wanaonekana waandamanaji wakitumia neno "Watu" kama ilivyo kwa CHADEMA "People".
Kama ni mfuatiliaji wa Maandamano yanayofanywa na CHADEMA utakumbuka kuwa kulikuwa na waandishi wanaopiga picha zenye uchache wa waandamanaji hali iliyopelekea wanachadema kulalamika kuwa ni hujuma zinafanywa na sio kweli.
Imeandikwa na Mjanja M1 ✍️
Yale sio maandamano, ni jogging.Kupitia kwenye ukurasa wao wa Instagram, Radio ya EFM imepost video inayoashiria kuwa ni kejeli kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Kwenye video hiyo iliyopewa Title "Subiri pajae ndio upige picha" wanaonekana watu wanaandamana halafu anatokea mwandishi wanamzonga asipige picha mpaka watu wajae.
Kwa upande mwengine kwenye hiyo video wanaonekana waandamanaji wakitumia neno "Watu" kama ilivyo kwa CHADEMA "People".
Kama ni mfuatiliaji wa Maandamano yanayofanywa na CHADEMA utakumbuka kuwa kulikuwa na waandishi wanaopiga picha zenye uchache wa waandamanaji hali iliyopelekea wanachadema kulalamika kuwa ni hujuma zinafanywa na sio kweli.
Imeandikwa na Mjanja M1 ✍️
😅😀Wanasubiri msamaa wa kodi toka ccm.EFM
Hata kama ingekua jogging wala sio shida kama kuna agenda ya maana ambayo unaona kabisa watu wameisimamia kwa hoja na sio hoja tu bali pia njia mbadala za kuishinikiza serikali iwajibike kwenye hoja hisika inazolalamukiwa.Yale sio maandamano, ni jogging.
Unfortunately I don't argue with hooligans. SorryWw ndo mpumbavyo kww kuamini hayo maandamano ya chochote cha maana
Uzwazwa wao unakuhusu nini wewe? Wamekuja kukuomba msosi?Pengine, lakini kwa mtazamo wangu hawawazidi wale wanaodhani kuwa yana impact yoyote........wale ni mazwazwa!