Umesahau kuwa ata kampuni ya Efm nayo inaakili zake haikurupuki kubambikia kesiMbona mnashadadia sana haya mambo fanyeni uchunguzi kwanza pj ni mtu mwenye akili zake bwana hakurupuki tu
Mkuu napata picha haujawahi kufanya biashara na watu wenye uelewa mdogo sana wa vitu, kati ya vitu watu huwa wanavipuuzia ni mikataba kwanza hua hawasomi pili hufanya maamuzi bila.kufikiria baadae ndo wanakuja kustuka kwamba wamekosea tena vitu vilivyokwenye maandishi Tanzania ni shida sana maana illiteracy ni kubwa sana kuliko unavyofikiria...Sijui nini kinawapata watangazaji wetu? hivi kweli Pj alikuwa hafahamu kuwa kuvunja mkataba kuna taratibu zake kweli? nimesikitika sana kama kweli mtangazaji ana kurupuka tuu bila kuangalia au kusoma vipengele vya mikataba yake na mwajiri wake.
Pengine aliona kuna kipengele kinacho mruhusu kuvunja mkataba nakufanya hivyo...pengine.
Ni kweli Clouds hawakujua hilo?
Hata hivyo madai yamepelekwa kwa baraza la usuluhishi na si mahakamani.
Mbali na Kutoa Mshahara wa mwezi kutakuwa na terms nyingine ambazo zipo kwenye mikataba ya kazi kwamba lazima utumike kwa kipindi flani ukiacha kabla ya kipindi hiko kuna fedha lazima ulipe,we si unakumbuka walisafiri san kwenda uk,USA kwa fedha za Efm?Alitakiwa atoe notification ya mwezi au alipe mshahara wa mwezi nadhani mikataba mingi ipo hivi..
Atamlipia ila ndoto za PJ zitakufa, Clouds watamsainisha mkataba wa kudumu miaka 100 watamkata mshahara hadi deli litakapo isha hamna cha bure!wanamchezea kusaga!,atawalipa fasta tu..../
KUSAGA IPO FWEZA BANA..."
Watamfunga tu
Msomi wa nini?,clouds kuna watangazaji wasomi?Nachojua PJ ni msomi .....ilikuwaje akashindwa kutambua masharti ya mkataba wake wa awali akiwa E-FM.....!? Hili ni funzo kwa waajiliwa wengine.....maana 200M kwa wakati huu si mchezo......
Watamfunga tu
Ukishindwa kulipa mdai Wako anakulipia matunzo gerezanikesi za madai hazina adhabu ya imprisonment