Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Unaamini ulichokiandika,alichosema Majizo au nguvu iliyo nyuma ya kuomba msamaha?Kalaga baho mwanakwetu!Mbona Majizzo amekwambia wasikizaji wake awakufurahishwa na kauli ya Hando ndio maana ameamua kumchukulia hatua tatizo sisi tunataka kulaumu atakisichokuwepo
Kwa sababu kafukuzwa kazi, au anaosha vyombo as regular duty ,mana hufanya hvyo kila mara panapo nafasiAnaosha vyombo saizi
Ameshushwa cheo anaosha vyombo vya boss wake walau ajikimu kkmaisha.Kwa sababu kafukuzwa kazi, au anaosha vyombo as regular duty ,mana hufanya hvyo kila mara panapo nafasi
Of course au kwenye site Wapinzani nk maana Ile tv anakofanyia kazi haijasajiliwa Kama chombo Cha mlengo fulani au Kama ana akili angemualika mtu back kwenye kipindi ndio afikishe hayo maoni yake.Hayo maoni angeyaweka kwenye page yake ya IG au FB wala Sio tatizo.
Ishu ni kutumia ofisi ya mtu kutoa misimamo yako binafsi... Inaleta sintofahamu kujua ni msimmo wa kampuni au msimamo wa mtu binafsi. Kuliondoa hilo ndio wenyewe wametoa ufafanuzi.
Hayo ya kuchukuliana hatau kiofisi watajuana wenyewe kulingana na sheria na miongozo ya Sehemu za kazi. Nadhani kila mahali Kuna taratibu zake.
Wewe ndoumelewaMajizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.
Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Ona kundu hili muda wote kusifia tuAcha ujinga wewe kima,lini ukisikia Serikali ya awamu ya 6 inaomba kusamehewa Deni?
Swala la China kusamehe Ni uamzi wao na wamesamehe Nchi nyingi tuu..
Na in fact Mwendazake alipobanwa na Uviko ndio alikuwa anaimba Wazungu wamesamehe madeni Mara aseme wasimamishe ulipaji madeni na Mara ampigie Rais wa China kuomba msaada nk Tena bila aibu waliturushia hizo clip..
Serikali inakopa na inalipa vile vile
Umekosa akili ndio shida yako 👇Ona kundu hili muda wote kusifia tu
Yaani tabia ya kujikombakomba imekua ndio life style. Imefikia hatua nikamsikia binadamu mmoja anayeitwa mchungaji naye anahimiza Watu wawe wanajikombakomba ili wafanikiwe.Magufuli alikuwa kiongozi mzuri lakini kwenye swala la kuabudiwa na watu kujikombakomba kwake aliharibu. Maadili ya viongozi/waandishi wahabari/raia wengi yapo kwenye kujikomba,kusifia uongo,uoga ili mradi mambo yaende.Mbn wakati wa Jk watu walikuwa wanaongea tu na kusikilizwa
Sisi tumeridhika na hii katiba, nyie walafi wa madaraka ndio mnapanga kuweka vyeo humo mara sijui serikali za majimbo, lengo lenu kula Hela za wananchi kwa mtaji wa kupiga domo
Kwani Hando kapewa onyo na Serikali au mmiliki wa Taasisi? Mwenye radio yake na wasikilzaji wa hiyo radio wameona alichokisema Hando akina afya kwa radio yao ndio maana wanataka kumchukulia hatua
#Gerald ameukosea umma wa watanzania, ameonyesha yeye ni mtu wa aina gani ya kwamba hukumbuki hata hatua chache ya kule tulipotoka, pia amejitoa ufahamu ya kwamba hukumbuki hata awamu ya tano ndiyo iliyokuwa inakopa huku ikiuhadaa umma tunajenga kwa fedha za ndani, amejitoa ufahamu hukumbuki tena, au alitaka serekali iwe inakopa kwa siri siri kama awamu iliyopita?, kuweka mambo wazi imekuwa tatizo?, alitaka tufichwe fichwe,Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopokopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.
Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.
View attachment 2464611
MajizoNani huyo?