Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Unaamini ulichokiandika,alichosema Majizo au nguvu iliyo nyuma ya kuomba msamaha?Kalaga baho mwanakwetu!Mbona Majizzo amekwambia wasikizaji wake awakufurahishwa na kauli ya Hando ndio maana ameamua kumchukulia hatua tatizo sisi tunataka kulaumu atakisichokuwepo