Mbona humsemi yule aliyedhuru hadi kutoa nafsi za watu kwa kosa kama hili? Unamkumbuka Magufuli tu.Nilimpenda Magufuli kwenye mambo mengi lakini kwenye hili la kupenda kusifiwa tu ameharibu Sana mfumo. Nchi imegeuka ya hovyo mtu akikosoa tu anaonekana adui,atasakamwa na kesi za uhujumu nchi atapewa.
Mama amerithi na kuiendeleza tabia mbovu na ya hovyo Sana.
Mbona tunajisemea mawazo yetu hapa jf miaka kibao tu.Kujisemea binafsi yake kupitia public media ndio kosa lake Kwa nchi kama hii
Mimi chademaHando kaongea vizuri saanaa.. sanaa.
Acheni utoto nyie CCM..
Tuanze na umri wako kwanzaAisee! Hivi una umri gani msela wangu?
Toka na wewe kwenye media yenye coverage kubwa kaseme uone motoMbona tunajisemea mawazo yetu hapa jf miaka kibao tu.
Husiwe muongo huo Ni mifumo WA inzi WA kijani, kumbuka ya ulimboka na wengine sema wewe Ni mtoto mdogo huwezi kumbuka.Nilimpenda Magufuli kwenye mambo mengi lakini kwenye hili la kupenda kusifiwa tu ameharibu Sana mfumo. Nchi imegeuka ya hovyo mtu akikosoa tu anaonekana adui,atasakamwa na kesi za uhujumu nchi atapewa.
Mama amerithi na kuiendeleza tabia mbovu na ya hovyo Sana.
Yule ameropoka kwenye media, attention ni kubwaMbona tunajisemea mawazo yetu hapa jf miaka kibao tu.
Ni uonevu tu wa kishamba, sikuhizi hata ukisema kauli kama raisi wa nchi hii ni mama mtu mzima afaa kuitwa bibi utashangaa wamekushukia eti umemchafua raisi. 🤣🤣🤣Yule ameropoka kwenye media, attention ni kubwa
Kuusema huo ukweli mbele ya kadamnasi ndio kosa lake.Nimemtizama na kumsikiliza Hando sijaona kosa lolote ameongea ukweli mtupu na ndo hali halisi
Tunarudi kuleeeee😀😀Ni uonevu tu wa kishamba, sikuhizi hata ukisema kauli kama raisi wa nchi hii ni mama mtu mzima afaa kuitwa bibi utashangaa wamekushukia eti umemchafua raisi. 🤣🤣🤣
Yes you have freedom of speech but i am not sure of your freedom after speech~Idd Amin
Nyie ni wale wajinga wa ccm mnapenda tu kusifiwa na sio kukosolewa.Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.
Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Ni muda muafaka Sasa media industry ikaondoa majitu mahuni, huyu arudi pale Masai pub akapige mizikiNyie ni wale wajinga wa ccm mnapenda tu kusifiwa na sio kukosolewa.
Huyo huyo Hando nilishamsikia kwenye kipindi hiko hiko miezi kadhaa iliyopita akisema "Nchi kwa kweli imefunguka hivi sasa". Akipongeza hatua za huyo bibi yenu. Leo kukosoa imekuwa nongwa!
Labda alikuwa demu wa Hando akapigwa chini. Amebaki na makasiriko.Ni kama una bifu na Hando! Punguza chuki
Magufuli hakutaka unafiki. Kama kuiba uchaguzi naiba waziwazi.Mkuu,
Haya mambo yalikuwapo tangu enzi za Nyerere.
Watu walifungwa kwa kumkosoa rais. Mpaka vyama vingi vikafutwa.
Kama hujasoma, tafuta hiki kitabu "Building a Peaceful Nation: Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanzania, 1960-1964" cha Paul Bjerk.
Haya hayakuanza na Magufuli.
Magufuli kaja kufanya kijinga tu mpaka kipofu kaona.
Gerald Hando was very right kutoa maoni yake. Madeni yanatuumiza. Mbaya zaidi mikopo tuna share 50-50 na Zanzibar, lakini mzigo wa ulipaji ni wa Tanganyika
Muendelezo wa Majizo kujipendekeza kufuta issues zake za Ngada
Jamaa inaonekana kapiga kwenye mshono.
Na kwanini Bi Tozo na wapambe wake wakiambiwa kukopa wanakuwa wakali sana.
Hiyo inaonyesha kuna shida kubwa sana hazina ndio maana wako too sensitive watu wakiongelea deni la taifa. .
Mkuu Satoh je unamjua mtu mmoja wa kuitwa DR Ulimboka!!? Huyo Ulimboka yalimpata ya kumpata kipindi cha JK!!Mkuu,enzi ya kikwete angalau Uhuru ulikuwepo tofauti na alipoingia Magufuli,japo haikuwa kwa % Mia ila angalau wakosoaji hawakupata misukosuko Kama enzi za jiwe na mwendelezo Hadi Sasa enzi ya mama.
Katika Hilo angalau tuseme ukweli. Nakuhakikishia kwa alichosema Hando na Ndugai ingekuwa enzi ya kikwete Wala kusingetokea yaliyotokea.