EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

Nilimpenda Magufuli kwenye mambo mengi lakini kwenye hili la kupenda kusifiwa tu ameharibu Sana mfumo. Nchi imegeuka ya hovyo mtu akikosoa tu anaonekana adui,atasakamwa na kesi za uhujumu nchi atapewa.
Mama amerithi na kuiendeleza tabia mbovu na ya hovyo Sana.
Mbona humsemi yule aliyedhuru hadi kutoa nafsi za watu kwa kosa kama hili? Unamkumbuka Magufuli tu.
 
Nimemtizama na kumsikiliza Hando sijaona kosa lolote ameongea ukweli mtupu na ndo hali halisi
 
Nilimpenda Magufuli kwenye mambo mengi lakini kwenye hili la kupenda kusifiwa tu ameharibu Sana mfumo. Nchi imegeuka ya hovyo mtu akikosoa tu anaonekana adui,atasakamwa na kesi za uhujumu nchi atapewa.
Mama amerithi na kuiendeleza tabia mbovu na ya hovyo Sana.
Husiwe muongo huo Ni mifumo WA inzi WA kijani, kumbuka ya ulimboka na wengine sema wewe Ni mtoto mdogo huwezi kumbuka.
 
Yule ameropoka kwenye media, attention ni kubwa
Ni uonevu tu wa kishamba, sikuhizi hata ukisema kauli kama raisi wa nchi hii ni mama mtu mzima afaa kuitwa bibi utashangaa wamekushukia eti umemchafua raisi. 🤣🤣🤣

Yes you have freedom of speech but i am not sure of your freedom after speech~Idd Amin
 
Ni uonevu tu wa kishamba, sikuhizi hata ukisema kauli kama raisi wa nchi hii ni mama mtu mzima afaa kuitwa bibi utashangaa wamekushukia eti umemchafua raisi. 🤣🤣🤣

Yes you have freedom of speech but i am not sure of your freedom after speech~Idd Amin
Tunarudi kuleeeee😀😀
 
Majizo amfukuze kazi Hando, EFM ni kituo kizuri sana Cha Radio, tatizo Hando anaingia akiwa amelewa chakari halafu anaruhusiwa kuingia hewani, aweke vipimo vya kilevi mlangoni.

Na akianza kuweka kipimo hicho, akipita Hando, kitapiga alarm ambayo itafika mpaka Morogoro, na kipimo kinaweza kupiga shoti hapohapo na kuharibika
Nyie ni wale wajinga wa ccm mnapenda tu kusifiwa na sio kukosolewa.

Huyo huyo Hando nilishamsikia kwenye kipindi hiko hiko miezi kadhaa iliyopita akisema "Nchi kwa kweli imefunguka hivi sasa". Akipongeza hatua za huyo bibi yenu. Leo kukosoa imekuwa nongwa!
Mwambieni huyo bibi yenu kama hataki kukosolewa aachie madaraka akaendesha familia yake. Hii nchi ni ya WaTZ wote sio mali ya urithi toka kwa baba yake.
 
Nyie ni wale wajinga wa ccm mnapenda tu kusifiwa na sio kukosolewa.

Huyo huyo Hando nilishamsikia kwenye kipindi hiko hiko miezi kadhaa iliyopita akisema "Nchi kwa kweli imefunguka hivi sasa". Akipongeza hatua za huyo bibi yenu. Leo kukosoa imekuwa nongwa!
Ni muda muafaka Sasa media industry ikaondoa majitu mahuni, huyu arudi pale Masai pub akapige miziki
 
Mkuu,

Haya mambo yalikuwapo tangu enzi za Nyerere.

Watu walifungwa kwa kumkosoa rais. Mpaka vyama vingi vikafutwa.

Kama hujasoma, tafuta hiki kitabu "Building a Peaceful Nation: Julius Nyerere and the Establishment of Sovereignty in Tanzania, 1960-1964" cha Paul Bjerk.

Haya hayakuanza na Magufuli.

Magufuli kaja kufanya kijinga tu mpaka kipofu kaona.
Magufuli hakutaka unafiki. Kama kuiba uchaguzi naiba waziwazi.
 
Jamaa inaonekana kapiga kwenye mshono.

Na kwanini Bi Tozo na wapambe wake wakiambiwa kukopa wanakuwa wakali sana.

Hiyo inaonyesha kuna shida kubwa sana hazina ndio maana wako too sensitive watu wakiongelea deni la taifa. .

Hapa panashida sana mtu akigusa mikopo wanakua wakali sana
 
Mkuu,enzi ya kikwete angalau Uhuru ulikuwepo tofauti na alipoingia Magufuli,japo haikuwa kwa % Mia ila angalau wakosoaji hawakupata misukosuko Kama enzi za jiwe na mwendelezo Hadi Sasa enzi ya mama.

Katika Hilo angalau tuseme ukweli. Nakuhakikishia kwa alichosema Hando na Ndugai ingekuwa enzi ya kikwete Wala kusingetokea yaliyotokea.
Mkuu Satoh je unamjua mtu mmoja wa kuitwa DR Ulimboka!!? Huyo Ulimboka yalimpata ya kumpata kipindi cha JK!!
 
Back
Top Bottom