EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

Wote tunafahamu kuhusu Timbwili la Haki ya kutoa maoni lililoletwa na Mtangazaji wa EFM, Gerald Hando, hakuna haja ya kurudia kuleta tena hapa, Na kwamba Waajiri wake ambao ni EFM wametoa taarifa kwamba tayari Mzalendo Hando amechukuliwa Hatua.

Sasa swali letu ni dogo tu, NI HATUA GANI AMBAZO HANDO AMECHUKULIWA? Amefutwa kazi, amesimamishwa kazi, amepigwa faini, amewekwa selo, ameshitakiwa, amesimamishiwa Mshahara wake au ni vipi?

Ni vema Maswali haya yakajibiwa ili jamii iwe na uhakika na Usalama wake, Tusije tukawa kimya kumbe Raia mwenzetu yuko mahali anateswa.

JamiiForums-32013987_621x693.jpg
 
Naona hizo ndio zitakuwa "siri za ofisi" kati ya muajiri na muajiriwa, japo naamini zitakuwa miongoni mwa hizo ulizoorodhesha hapo juu.

Kile kitendo cha kumshughulikia Hando naamini kilichangiwa na safari aliyokuwa nayo Majizzo jana, kwenda Msoga kuwa dj kwenye shughuli ya kuukaribisha mwaka iliyofanyika nyumbani kwa Kikwete, ndio akaona "afukie mashimo" mapema.
 
Naona hizo ndio zitakuwa "siri za ofisi" kati ya muajiri na muajiriwa, japo naamini zitakuwa miongoni mwa hizo ulizoorodhesha hapo juu.

Kile kitendo cha kumshughulikia Hando naamini kilichangiwa na safari aliyokuwa nayo Majizzo jana, kwenda Msoga kuwa dj kwenye shughuli ya kuukaribisha mwaka iliyofanyika nyumbani kwa Kikwete, ndio akaona "afukie mashimo" mapema.
Aiseeee !!
 
Uhuru wake wa maoni afanye kwenye page yake binafsi ...sio kwenda kuongea vitu tofauti na misimamo ya Taasisi iliyokuajiri.....halafu ukifukuzwa kazi useme Uhuru wa kutoa maoni.

Ukifanya kazi media ambayo mmiliki wake ni Chadema ...maoni yako kupitia media hiyo lazima yaendane na misimamo rasmi ya hiyo media..

The same goes Kwa CCM, Cuf etc...

Hutaki Acha kazi ukaropoke popote kule
 
Uhuru wake wa maoni afanye kwenye page yake binafsi ...sio kwenda kuongea vitu tofauti na misimamo ya Taasisi iliyokuajiri.....halafu ukifukuzwa kazi useme Uhuru wa kutoa maoni.
Kusaga alishawahi kumtimuwa Kipanya clouds FM kwa kutoheshimu Policy za media zake, aliwaondowa Kipanya na Fina Mango wake bila kujali walikuwa wapo fire na power breakfast yao.
 
Uhuru wake wa maoni afanye kwenye page yake binafsi ...sio kwenda kuongea vitu tofauti na misimamo ya Taasisi iliyokuajiri.....halafu ukifukuzwa kazi useme Uhuru wa kutoa maoni...
Ukifanya kazi media ambayo mmiliki wake ni Chadema ...maoni yako kupitia media hiyo lazima yaendane na misimamo rasmi ya hiyo media..

The same goes Kwa CCM, Cuf etc...

Hutaki Acha kazi ukaropoke popote kule
Swali letu limelenga kujua hatua alizochukuliwa tu , kwa nchi isiyo ya kidemokrasia kama Tanzania yote uliyoyaandika ni sahihi
 
Taasisi iliyomuajiri ina msimamo gani kuhusu mikopo ya nchi huko ughaibuni?
Uhuru wake wa maoni afanye kwenye page yake binafsi ...sio kwenda kuongea vitu tofauti na misimamo ya Taasisi iliyokuajiri.....halafu ukifukuzwa kazi useme Uhuru wa kutoa maoni...
Ukifanya kazi media ambayo mmiliki wake ni Chadema ...maoni yako kupitia media hiyo lazima yaendane na misimamo rasmi ya hiyo media..

The same goes Kwa CCM, Cuf etc...

Hutaki Acha kazi ukaropoke popote kule
 
Uhuru wake wa maoni afanye kwenye page yake binafsi ...sio kwenda kuongea vitu tofauti na misimamo ya Taasisi iliyokuajiri.....halafu ukifukuzwa kazi useme Uhuru wa kutoa maoni...
Ukifanya kazi media ambayo mmiliki wake ni Chadema ...maoni yako kupitia media hiyo lazima yaendane na misimamo rasmi ya hiyo media..

The same goes Kwa CCM, Cuf etc...

Hutaki Acha kazi ukaropoke popote kule
Hata wewe!!!!!???
 
H
Hajazuiwa kuandika chochote kwenye page yake wala kuchukua fomu kugombania nafasi yeyote kwenye chama chochote.... bado ana Uhuru mkubwa WA maoni na kushiriki siasa..

Asihusishe chombo ambacho muajiri wake hataki....mbona simple kabisa hii kueleweka?
Hata wewe!!!??
 
Uhuru wake wa maoni afanye kwenye page yake binafsi ...sio kwenda kuongea vitu tofauti na misimamo ya Taasisi iliyokuajiri.....halafu ukifukuzwa kazi useme Uhuru wa kutoa maoni...
Ukifanya kazi media ambayo mmiliki wake ni Chadema ...maoni yako kupitia media hiyo lazima yaendane na misimamo rasmi ya hiyo media..

The same goes Kwa CCM, Cuf etc...

Hutaki Acha kazi ukaropoke popote kule
That's right Mr The Boss...

Hii ndiyo kanuni muhimu katika maisha ya binadamu..

Kama hukubaliani (hampatani) na sera za mtu au rafiki yako fulani, toka nenda zako tafuta wenzako/rafiki mtakayepatana/endana naye...

Binafsi mimi huwa sishangai kabisa CCM au CHADEMA wanapofukuza wanachama wao (bila kujali hadhi zao) pale wanapoenda kinyume na sera na misimamo ya vyama vyao...

Unfortunately, baadhi yetu wengi hatuelewi hili..

Sasa Gerald Hando amekosea...

Mwajiri wake EFM na TVE bila shaka ni wale wa "anaupiga mwingi" kwa Samia na CCM yake. Kusema kinyume chake, ni kumkosea Mwajiri wake....

Alipaswa akasemee kule nje ili yawe maoni yake. Lakini kutumia kipaza sauti cha mwajiri wake, obviously ni ku - concur na sera na misimamo yake, lakini kumbe sivyo...!

NOTE: Kwa upande mwingine inawezekana hii ametumia tu hii kama ni njia ya kutafutia mlango wa kutokea hapo, wamfukuze avute chake asepee kwingine..

Huyu si mjinga kusema hajui haya. Mimi naamini anajua fika kila afanyalo...!!
 
Back
Top Bottom