Siyo kwamba nipo kundi la wasomi, Mimi ni msomi mbobezi ambaye nimetengeneza wasomi wengine. Usicheze na MBASawa unajiona nawe upo kundi la wasomi?
Pole endelea kutafuta ugali wa wanao na ada na kodi ya nyumba.
Ni kweli siyo kila mwenye PhD au Masters anaweza kuongea eneo lolote bali eneo husika na fani yake. Kama huna shahada ya uchumi au fedha yeyote huwezi kuongea kwa uafasaha hoja za uchumi.Change your Mindset kuhusu elimu. Unaweza kuwa na Masters au hata PhD na usiwe na uwezo wa kuzungumzia mambo kama huyo Hando. Alafu dunia ya sasa imebadilika sana..information is everywhere hivyo suala la mtu kuwa informed na mada mbalimbali ni juhudi tu na siyo kumiliki Vyeti vya Chuo. Bongo wapuuzi wengi na wapumbavu ni haohao wenye Masters
Maoni hayakatazwi na wala hawezi kupata shida kwa hilo. Tatizo yeye ni mtangazaji nankatumia chombo cha mwajiri vibaya kuelezea maoni binafsi.Athari za mikopo kwa uchumi wa nchi na mtu mmoja mmoja haihitaji Masters kujua.
Msiwazibe wananchi midomo kwa kivuli cha elimu, kila mmoja ana haki ya kutoa maoni maana hiyo mikopo italipwa kwa kodi zetu.
Suala la hatua atakazochukuliwa ni kati ya mfanyakazi na mwajiri wake. Hata huko kwenye nchi unazozifaham kwenye ukomavu wa demokrasia, lazima uheshimu na kuzingatia miiko ya kazi.Swali letu limelenga kujua hatua alizochukuliwa tu , kwa nchi isiyo ya kidemokrasia kama Tanzania yote uliyoyaandika ni sahihi
Unapenda ligi?Siyo kwamba nipo kundi la wasomi, Mimi ni msomi mbobezi ambaye nimetengeneza wasomi wengine. Usicheze na MBA
Majizo anafahamu fika hiyo redio aliipataje,anafahamu kuwa siyo msafi na anajua halipi Kodi na tozo inavyostahili.Alichofanya ni kuokoa biashara yake.Kiukweli nimeshangaa sana ni nini kimemtuma Majizzo kuomba msamaha kwenye public? Kuna jambo lolote baya kutoka kwa Hando? Maana yeye alisema binafsi hafurahishwi na serikali kukopa kopa kama raia wa nchi ana haki ya kuishauri serikali na kutoa dukuduku lake kama katiba inavyosema.
Kwani Hando kuna sehemu kadanganya? Si kweli tunakopa? Kama hakuna ubaya kukopa kwanini Majizzo anaomba msamaha? Kama taifa tuna safari ndefu sana.
View attachment 2464611
Unajua Majizzo ni chama gani? Inawezekana Majizzo amekerwa na tabia ya Hando kuwasema na kuwakosoa hadharani viongozi wa chama chakeUtakuwa mwendawazimu kufikiri eti wenye kituo wamembana mtangazaji wao bila shinikizo la dola. Kila mara huyo Hando anaongea maneno ya hivhivyo dhidi ya wapinzani na hawamchukulii hatua, ila kaongea dhidi ya serekali ndio anabugudhiwa.
Mkuu kipindi cha Ulimboka kama ulikuwepo je kwa aliyoyafanya Ulimboka alistahili kuonewa huruma je unajua ni watu wangapi walikufa kwa sababu ya Ulimboka? Alichokipata Ulimboka alistahili tena alikipata kidogo alionewa hurumaMkuu Satoh je unamjua mtu mmoja wa kuitwa DR Ulimboka!!? Huyo Ulimboka yalimpata ya kumpata kipindi cha JK!!
Kwa sababu Hando ametoa msimamo wake kwenye taasisi yao na Hando ni muajiliwa waoSasa kama si Msimamo wa Taasisi wanahangaika kwanini kumwadhibu Hando?
Mkuu tatizo watu humu wanapenda kujisahaulisha mdogo wa Heche alimvua Mzee wa watu fulana yenye nembo ya CCM kwa madai nyumba Ile ni Chadema na maneno mengi ya dhalau Mzee wa watu alivua fulana yake ndio akapata kazi na akaambiwa asiludie tenaUhuru wake wa maoni afanye kwenye page yake binafsi ...sio kwenda kuongea vitu tofauti na misimamo ya Taasisi iliyokuajiri.....halafu ukifukuzwa kazi useme Uhuru wa kutoa maoni.
Ukifanya kazi media ambayo mmiliki wake ni Chadema ...maoni yako kupitia media hiyo lazima yaendane na misimamo rasmi ya hiyo media..
The same goes Kwa CCM, Cuf etc...
Hutaki Acha kazi ukaropoke popote kule
Taasisi inakubaliana na mikopo ndio maana imemchukulia hatua za kinadhamuTaasisi iliyomuajiri ina msimamo gani kuhusu mikopo ya nchi huko ughaibuni?
Unajua Majizzo ni chama gani? Inawezekana Majizzo amekerwa na tabia ya Hando kuwasema na kuwakosoa hadharani viongozi wa chama chake
Unajua Majizzo ni chama gani? Inawezekana Majizzo amekerwa na tabia ya Hando kuwasema na kuwakosoa hadharani viongozi wa chama chake
Ila kumbuka akuna uhuru usio na mipakaKwa kuzingatia kipengele cha uhuru wa kutoa maoni kosa lake hapo ni lipi ?
Na wewe ni walewale tu "a functional illiterate" na degree yako uchwara. You can not think out of the books you were forced to read in school! Shame.Ni kweli siyo kila mwenye PhD au Masters anaweza kuongea eneo lolote bali eneo husika na fani yake. Kama huna shahada ya uchumi au fedha yeyote huwezi kuongea kwa uafasaha hoja za uchumi.
Nyie ambao hamjasoma ndiyo kabisa mnatupotezea muda bure kwa kuendelea kubishana badala ya kujifunza.
Bunge lilipitisha Bajeti ya Tsh 42 Trllioni yenye nakisi dhidi ya mapato ya Tsh 19 Trillion, je Gerald Hando anadhani nakisi itazibwa na nini?
Miradi mikubwa ya SGR, JNHEPP, Busisi na Makao Makuu Dodoma ndiyo vinakula sehemu kubwa ya mikopo
Ilo naweza kukubaliana na wewe sasa wakati wao wanaficha makandokando yao alafu anatokea mtu anataka kuwaharibia si inabidi kumshughulikiaHao akina majizo hata kama wako CCM sio kwasababu ya kuamini itikadi yake, bali ni kama kinga ya biashara zao zenye makandokando.
Akuposti akuwa Msoga ameposti akiwa Msata wewe unajua Majizzo kwa wapi?Amepost akiwa msoga- chalinze bila shaka aliitwa na ile familia. Mtu amekaa zaidi ya siku 3 ndo azungumze? Kwanini asizungumze siku ile hando alivyofunguka?? Aliitwa msoga uyo
Mipaka ya uhuru wa kutoa maoni ni ipi ?Ila kumbuka akuna uhuru usio na mipaka