Ni kweli siyo kila mwenye PhD au Masters anaweza kuongea eneo lolote bali eneo husika na fani yake. Kama huna shahada ya uchumi au fedha yeyote huwezi kuongea kwa uafasaha hoja za uchumi.
Nyie ambao hamjasoma ndiyo kabisa mnatupotezea muda bure kwa kuendelea kubishana badala ya kujifunza.
Bunge lilipitisha Bajeti ya Tsh 42 Trllioni yenye nakisi dhidi ya mapato ya Tsh 19 Trillion, je Gerald Hando anadhani nakisi itazibwa na nini?
Miradi mikubwa ya SGR, JNHEPP, Busisi na Makao Makuu Dodoma ndiyo vinakula sehemu kubwa ya mikopo