EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

Ilo naweza kukubaliana na wewe sasa wakati wao wanaficha makandokando yao alafu anatokea mtu anataka kuwaharibia si inabidi kumshughulikia

Unamshughulikia mtu ambaye hajafanya kosa!
 
Wimbo wa ccm ni ileile unahalalisha madhambi ya viongozi wawapo madarakani,ni kejeli dhidi ya uhuru na hatujasahau magufuli alivyokereka na ukosoaji kama ambavyo ssh anavyoendeleza.
 
Nape alisema kwa Sasa watadeal na mhadishi binafsi na sio tasisi kwa kauli hii usitegemee kuwepo kwa uhuru wa habari maana wote watalizimika kuandika kinachopendezwa na mamlaka matokeo yake ndo haya
 
Labdo Hando anataka Sa100 atoe hela yake ya mfukoni kujenga SGR, JNHEP, etc,
Ujue hii issue iko ki political zaidi, wanaomsupport Hando wako kisiasa zaidi
 
hata ingekua mimi ndio majizzo ningefanya hivyo hivyo,hata nisipomfukuza kweli kazi hando ila ningetengeneza drama nionekane sipo upande wa hando.

kama zamani unamwambia mtoto,Tema mate hapa tumchapeee..

Hii nchi tunaenda kinafki nafki tu mambo yetu yaende.
 
Na wewe ni walewale tu "a functional illiterate" na degree yako uchwara. You can not think out of the books you were forced to read in school! Shame.
Nimekuja kwa hoja ya bajeti, makusanyo, nakisi na miradi mikubwa hujanijibu. Ila kwa kuwa Gushleviv ni mtoto wa malaya unachojua ni kuandika matusi tu uliyozoea kusikia kutoka kwa mama yako. Kama ungekuwa na baba usingeandika namna hiyo hapo juu Bali ungekuja kwa hoja
 
Siyo thinking iliyo sababisha msuaji ya rwanda bali ni vitendo kama hivi vinavyo fanya na wahuni wa chama cha mambuzi
 
Hivi Dicteta akiwa na jinsia ya KE anatwaje vile!!!
 
Majizo amemuombea msamaha Hando. Nahc Hando ameamua kuwa JIWE gumu.

Ya Ndugai yasijirudie tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…