Hahaha 😆 😂Tatiz9 e football wengi wanaogoapa ku update GB 2 kila mwezi noma bora wacheze DLS tu.
mkuu ulikua unataka nilifute 😀 😀 😀 😀 😀Sio kila mwezi mkuu. Update kwa mwaka inaweza kuwa mala 2 au 3 tu.
vizia sehemu yenye WIFI nenda kalipakue mzeeHivi mkuu hilo efootball hamna namna ya kulicompress na kutuma kwa njia ya telegram kama file maana nalitamani ila 2gb parefu
😂😂😂😂😂😂😂 Ndiyo mkuu haipiti miezi miwili una update kwa hizo hizo GB 2 ndiyo maana watu wengi wanalikwepa.kuupdate ni kila mwezi???
nimelipakua leo GB 2
Hapana mkuu😂mimi nina mwaka 1 na nusu toka ni download hili game nime update mara 2.mkuu ulikua unataka nilifute 😀 😀 😀 😀
Sizitaki mbichi hizi. DLS haingii kwa e football ila kutokana sababu hizo hapo juu wengi linawashinda.Hahaha 😆 😂
1. Wanaogopa update za mara kwa mara.
2.simu zao hazi support game
3.hakuna kucheza offline huku ni online tuu🤣
▫️ndo maana wanasema DLS ni bora ila ukweli haupingikii eFootball ni motoo🔥🔥🏃♂️🏃♂️🤣👐
Acha uoga unazingua😂mkuu ulikua unataka nilifute 😀 😀 😀 😀 😀
Mimi ni simu haisupport tu. Ila napenda gameplay ya e football. Napenda kucheza online match battle na wahindi na Wababangladesh.Mnapenda kucheza offline.
Kumbe ni team eFootball kabisa mchawi simu😃Mimi ni simu haisupport tu. Ila napenda gameplay ya e football. Napenda kucheza online match battle na wahindi na Wababangladesh.
aise hili game nimechelewa kulijuaAshaweza kudownload hapo ameuwa kabisa update ni mara mojamoja😁
bado npo kibaruani ,muda ule nilikua break kidogo halafu shida ninapoishi gheto mtandao upo slow vipi halitastack?Umeona mkuu. Nikupe code online?