Efootball vs dream league soccer(dls)

Efootball vs dream league soccer(dls)

Nipe link aisee...nimehangaika sana kulipata hilo game..now Niko na la 21 nimeshindwa kulipata la 22 au 23


Utabonyeza sehemu inaitwa magnet
Kama una app ya torrent yyt itaanza kudownload
Wkt unafny installation uta allow 2gb nini hapo nimesahau
Usipoallow game haliwez kuinstall
 
Anyone online 🤣🤣
Screenshot_20231103_213547_eFootball.jpg
 
Mkuu hii kitu unayotangaza hapa ina faida gani kwa watanzania zaidi ya kuwaongezea uraubu na kuwapotezea muda wa kazi?
 
Mkuu hii kitu unayotangaza hapa ina faida gani kwa watanzania zaidi ya kuwaongezea uraubu na kuwapotezea muda wa kazi?
Ulivo sirias na maisha hivo kias kwamba hutaki hata kucheza game unaona unapoteza muda lkn huwenda huna hata maisha[emoji23].

Kazi tunapiga na game tunacheza
 
Mkuu hii kitu unayotangaza hapa ina faida gani kwa watanzania zaidi ya kuwaongezea uraubu na kuwapotezea muda wa kazi?
🤣🤣🤣🤣🤣**** mda wa kazi na mda wa kucheza games huwezi kufanya kazi mda wote mkuu😅😅
 
Kidogo Acha na Mi nijaribu kuandika kitu kuhusu hizi Game?

✍️ Kuhusu Game lipi zuri hapa nitatembea na DLS Kwa 7b zifuatazo.

1. DLS Kwanza ndy game ambalo style ya Uchezaj yake ni nzuri kuliko Game Lolote lile la Mpira upande wa Simu. Kwny DLS kuna Options 3 za kuchezea (A, B & C) plus Logstick(Joystick) hii inakuwa rahisi kuweza kubuni style ya Uchezaji unayotaka (Possession Game au Counter Attack Game) hii ndy inayoleta Utofauti wa Game la DLS na Game nyngne km Efootball ambalo Lenyewe Lina options 4 ( Dash, Through, Shoot & Pass) hapa ss ndy Kuna shida side Moja ya game kuwa na options 4 ni Ngumu sn kucontrol namna unavyotaka kucheza.

2. DLS upande wa Malengo ni Bora zaidi kuliko Game yoyote Ile mfano turudi kwenye DLS22 Lengo la Timu (mchezaji) ilikuwa kuweza kufika Tier 1 au Single digit tier 9 kushuka chini (Online Tournament known as Dream League Live ) Kwa waliocheza watakuwa wanaelewa Ugumu wa kutimiza Lengo ilo la kuwa Tier 1 hiki ndy kilifanya watu wengi kulipenda Game nakujikuta wanatenga muda mwingi wa kucheza Game ili Bila kutimiza Lengo (Base on my experience kwny Group zote za WhatsApp DLS Tanzania nilizokuwepo watu waliokuwa Tier 1 walikuwa ni Wawili tu).

3. Ukija kwenye Challenge Uwepo wa Option ya Friend Match kutumia Code ( Urahisi wa kucheza Mechi za kirafiki na mtu unaewasiliana nae haijarishi mpo sehemu 2 tofauti) hiki ndiyo kinafanya DLS kubwa Bora zaidi upande wa Game zote za Mpira kupitia Simu. Hii option imefanya kuwe na Ligi tofauti tofauti Sana kwenye Magroup ya WhatsApp mpk Uwepo wa Ligi za Pesa ushindani umekuwa Mkubwa Kwa sababu kila mtu anachezesha Timu yake na kuna Prizes Kwa Mshindi.

4. Gharama za upatikanaji wake DLS ni MB 500+ imekuwa affordable Kwa watu wengi zaidi kulingana na Gharama za vifurushi ilivyo wkt Efootball ni GB 2+
 
Kidogo Acha na Mi nijaribu kuandika kitu kuhusu hizi Game?

✍️ Kuhusu Game lipi zuri hapa nitatembea na DLS Kwa 7b zifuatazo.

1. DLS Kwanza ndy game ambalo style ya Uchezaj yake ni nzuri kuliko Game Lolote lile la Mpira upande wa Simu. Kwny DLS kuna Options 3 za kuchezea (A, B & C) plus Logstick(Joystick) hii inakuwa rahisi kuweza kubuni style ya Uchezaji unayotaka (Possession Game au Counter Attack Game) hii ndy inayoleta Utofauti wa Game la DLS na Game nyngne km Efootball ambalo Lenyewe Lina options 4 ( Dash, Through, Shoot & Pass) hapa ss ndy Kuna shida side Moja ya game kuwa na options 4 ni Ngumu sn kucontrol namna unavyotaka kucheza.

2. DLS upande wa Malengo ni Bora zaidi kuliko Game yoyote Ile mfano turudi kwenye DLS22 Lengo la Timu (mchezaji) ilikuwa kuweza kufika Tier 1 au Single digit tier 9 kushuka chini (Online Tournament known as Dream League Live ) Kwa waliocheza watakuwa wanaelewa Ugumu wa kutimiza Lengo ilo la kuwa Tier 1 hiki ndy kilifanya watu wengi kulipenda Game nakujikuta wanatenga muda mwingi wa kucheza Game ili Bila kutimiza Lengo (Base on my experience kwny Group zote za WhatsApp DLS Tanzania nilizokuwepo watu waliokuwa Tier 1 walikuwa ni Wawili tu).

3. Ukija kwenye Challenge Uwepo wa Option ya Friend Match kutumia Code ( Urahisi wa kucheza Mechi za kirafiki na mtu unaewasiliana nae haijarishi mpo sehemu 2 tofauti) hiki ndiyo kinafanya DLS kubwa Bora zaidi upande wa Game zote za Mpira kupitia Simu. Hii option imefanya kuwe na Ligi tofauti tofauti Sana kwenye Magroup ya WhatsApp mpk Uwepo wa Ligi za Pesa ushindani umekuwa Mkubwa Kwa sababu kila mtu anachezesha Timu yake na kuna Prizes Kwa Mshindi.

4. Gharama za upatikanaji wake DLS ni MB 500+ imekuwa affordable Kwa watu wengi zaidi kulingana na Gharama za vifurushi ilivyo wkt Efootball ni GB 2+
Vipi upande wa eFootball mkuu😃 au ndo unaffordable 🤣
 
Kidogo Acha na Mi nijaribu kuandika kitu kuhusu hizi Game?

[emoji3578] Kuhusu Game lipi zuri hapa nitatembea na DLS Kwa 7b zifuatazo.

1. DLS Kwanza ndy game ambalo style ya Uchezaj yake ni nzuri kuliko Game Lolote lile la Mpira upande wa Simu. Kwny DLS kuna Options 3 za kuchezea (A, B & C) plus Logstick(Joystick) hii inakuwa rahisi kuweza kubuni style ya Uchezaji unayotaka (Possession Game au Counter Attack Game) hii ndy inayoleta Utofauti wa Game la DLS na Game nyngne km Efootball ambalo Lenyewe Lina options 4 ( Dash, Through, Shoot & Pass) hapa ss ndy Kuna shida side Moja ya game kuwa na options 4 ni Ngumu sn kucontrol namna unavyotaka kucheza.

2. DLS upande wa Malengo ni Bora zaidi kuliko Game yoyote Ile mfano turudi kwenye DLS22 Lengo la Timu (mchezaji) ilikuwa kuweza kufika Tier 1 au Single digit tier 9 kushuka chini (Online Tournament known as Dream League Live ) Kwa waliocheza watakuwa wanaelewa Ugumu wa kutimiza Lengo ilo la kuwa Tier 1 hiki ndy kilifanya watu wengi kulipenda Game nakujikuta wanatenga muda mwingi wa kucheza Game ili Bila kutimiza Lengo (Base on my experience kwny Group zote za WhatsApp DLS Tanzania nilizokuwepo watu waliokuwa Tier 1 walikuwa ni Wawili tu).

3. Ukija kwenye Challenge Uwepo wa Option ya Friend Match kutumia Code ( Urahisi wa kucheza Mechi za kirafiki na mtu unaewasiliana nae haijarishi mpo sehemu 2 tofauti) hiki ndiyo kinafanya DLS kubwa Bora zaidi upande wa Game zote za Mpira kupitia Simu. Hii option imefanya kuwe na Ligi tofauti tofauti Sana kwenye Magroup ya WhatsApp mpk Uwepo wa Ligi za Pesa ushindani umekuwa Mkubwa Kwa sababu kila mtu anachezesha Timu yake na kuna Prizes Kwa Mshindi.

4. Gharama za upatikanaji wake DLS ni MB 500+ imekuwa affordable Kwa watu wengi zaidi kulingana na Gharama za vifurushi ilivyo wkt Efootball ni GB 2+
Waspokuelewa hapa ndo basi tena....
Nyongeza upande wa skills kwenye DLS

1. Ni rahisi kupiga chenga kama Ronaldinho Ile ya vibasekeli Kwa kuscrow screen yako kwenda mbele [emoji3504]
2. Ni rahisi kunyanyua mpira zile anapendaga kufanya Neymar Jr. Kwa kuscrow screen yako kwenda juu [emoji667]
3. Ni rahisi kupiga skills za kupanda na kuzunguka na mpira kama Ile chenga ya Kaka enzi zile akiwa Milan Kwa kuscrow screen yako kwenda Chini [emoji668]
4. Unaweza kufunga Goli la tiktak Kwa Ku-double touch screen yako wakati umepiga cross Kwa mchezaji...
5. Pia ukitaka kucheza show game basi DLS ndo nyumbani.....

DLS idumu inafanya nipunguze kupigwa mizinga na mademu [emoji2]
 
Fifa mobile me ndo nalipenda ila watu awalitaki kwasababu ni online tuu pekee, ila ni kali updates za kutosha graphics za juu na mode of play kalii, DLS nafutaga tu ata kulicheza naonaga alinifurahishi
We ndo kama mimi mkuu, mimi dls nimeshindwa kabisa kucheza, anyway unatumia id gani fifa mobile?
 
Back
Top Bottom