Efraim Kibonde amsafisha Rostam

Efraim Kibonde amsafisha Rostam

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Mtangazaji wa Kituo Cha Redio cha CLOUDS FM, Bw. Efraim Kibonde ametoa ''kali ya mwaka'' pale alipojitosa mzima mzima kumsafisha Rostam Azizi kupitia kipindi chake cha Jahazi.

Bw. Kibonde alidai kua watu wanaacha kujadili maadui wa3 wanaojulikana ambao ni Ujinga, maradhi na umasikini wao wanabaki kujadili watu.

Kwa mujibu wa Bw. Kibonde, ni vyema kama kuna mtu anaehisi fulani ni mwizi basi akampeleka mahakamani kuliko kubaki kulalamika pembeni.

My Take;
1>Kibonde apuuzwe tu, kwani anafahamika ni puppet wa mafisadi akitumika kuwasafisha kupitia vipindi vyake Redioni.
2>Kibonde anathibitisha ukilaza wake kwa kuamini kua popote pale, katika mazingira yoyote yale na kwa wakati wowote ule, maadui ni hao watatu tu.
3>Kibode anatumia utetezi wa A-Ch kwamba mwenye ushahidi apeleke mahakamani au TAKUKURU huku akijua fika huko ndiko Rushwa imebobea
 
Hiyo take yako namba 1 ni UNAFIKI, wewe mrundika sredi ungekuwa unampuuza usingeleta hili bandiko!
 
Ni huyu Kibonde mwenye skendo ya THT au? Yeye nani kampeleka mahakama? Haaahaa kibonde bwana tatizo analewa mno..then pia mshkaj wa baba riz.,'
 
kibonde ni kilaza tu anashindwa kuelewa kwamba hao maadui watatu wanasababishwa kwa kiasi kikubwa na ufisadi!!!!!
 
Huko si kumpuuza Kibonde ni kumtukuza. Haya Rostam Keshatoa mwelekeo kuwa ana achana siasa uchwara kwa kila mwana sihasa 'siasa' anayekubaliana na hilo na yeye aachie nyadhifa. Naamini wanasiasa wengi wangependa tukubali kuwa siasa za Tanzania ni siasa uchwara lakini hawaachii ngazi kama Rostam ili wasiwemo katika kundi baya.
 
kila mara ninamshauri Joseph Kusaga hapa jamini awe makini na Redio yake hii

redio hii kama haitakuwa na wataalam mahiri wa media broadcasting na si hawa wa kuokoteza kama Kibonde basi redio hii itakufa kifo cha kawaida

kwa redio kama clouds haihitaji kuangukia upande wowote ule kwani mwisho wake hata wanaopeleka matangazo hawatapeleka kwa sababu ya kuegemea upande fulani

hebu angalia redio free africa , hii redio ina future nzuri sana
 
Joseph kusanga! Hii radio itakufa kifo cha ajabu sana, usiombe yakatokea machafuko yeyote nchi, watu wataanza na radio yako kama hujui ubaya wa siasa, jitahidi uwe neutral, hera za ccm zitakutokea puani
 
Hiyo take yako namba 1 ni UNAFIKI, wewe mrundika sredi ungekuwa unampuuza usingeleta hili bandiko!
Nawe post yako nayo ni ya KINAFIKI.Ungekua umeyaona hayo ungepuuza tu.Katika hizo tatu umeona moja ina makosa ukakosoa, mbona hukusifia mbili zilizobaki?Kama anakuhusu kampikie chai unywe nae!
 
Huyo huwa ni futa thatzwhy mr 2 a. K. A sugu aliwapa kubwa kuliko katika antvirus
sio hivyo tuuuuuuuuuuuuuu ila ameanza kujisogeza kwa huyo papa ili kama akichukua uongozi tena ampe shavuuuuuuuuuuuu:a s 103:
 
kila mara ninamshauri Joseph Kusaga hapa jamini awe makini na Redio yake hiiredio hii kama haitakuwa na wataalam mahiri wa media broadcasting na si hawa wa kuokoteza kama Kibonde basi redio hii itakufa kifo cha kawaidakwa redio kama clouds haihitaji kuangukia upande wowote ule kwani mwisho wake hata wanaopeleka matangazo hawatapeleka kwa sababu ya kuegemea upande fulani hebu angalia redio free africa , hii redio ina future nzuri sana
Philosophically I dont see any difference between these two media
 
Hivi kumbe bado mnamsikilizaga huyu jamaa? Kibonde ni mnafiki sana
 
yaani kwa bahati mbaya kumsikia akianza kuongea,unajikuta unabisha na radio yako! haina tofauti na ukimuona jk kwenye tv yako, u just cant help watching what crap he still has to say to the public!
Hivi kumbe bado mnamsikilizaga huyu jamaa? Kibonde ni mnafiki sana
 
Kibonde hakuna kitu jamani ni kilaza tu hajui kitu yule
 
Inasemekana Kibonde ana division zero 'O' wale wanaomfahamu au waliosoma naye watudhibitishie. ukimsikiliza hoja zake za kipuuzi unaweza kuaminishwa kuwa kweli ni zero huyo
 
sio kilaza tuu ni mbumbumbu kwa akili yake anafikiri atapigiwa pande ili apewe udc,wakati ni failure kichwani...........................pili kaka shark futa kauli yako kua takukuru imebobea kwa rushwa
 
Sikuwa msikilizaji sana wa Clouds. Yapata kama mwaka na kidogo hivi nikashawishika kuisikiliza hasa vipindi vya asubuhi kabla sijaingia mzigoni. Kwa kiasi nilianza kupenda pale walipokuwa "Critique" kwa watumishi wa uma au watu walioshika dhamana. Ukosoaji wao ulinishawishi kuamini kuwa ni sauti au radio ya watu. Nika-extend my hearing mpaka vipindi vya jioni. Huko nikakutana na kibonde. Haikunichukua muda mrefu kuwa fade-up na radio hiyo na kuacha kabisa kuisikiliza. Ilikuwa ni Kibonde, kama ambavyo nimesoma baadhi ya maoni hapo juu, ilikuwa dhahiri huyu mtu ameingia kwenye pay roll ya Mafisadi. Bila aibu wala haya, utamsikia akisifa vilivyooza na kunuka, na kuponda vinavyong'ara. Haihitaji akili nyingi kuacha kumsikiliza. Ndio maana huo utumbo ambao ameufanya leo nimeusoma humu jamvini. Siwezi kumpa hata sekunde yangu moja kumsikiliza. Hata pale anapojipendekeza kuwa MC kwenye matukio fulanifulani. Sio tu KUMPUUZA, bali KUTOKUMSIKILIZA kabisa. HANA ANCHOWEZA kukuelimisha.
 
Back
Top Bottom