Egg chops

Mi nakutamania unavojua kupika jamani hadi raha

Mapishi ni kujaribu tu wii!!
Nakumbuka nilikuwa nikitaka kujifunza pishi jipya naandaa mahitaji then najifungia jikoni,nikiharibu namwaga na kesho najifungia tena,hawatajua najifunza nini mpaka siku nikiweza wakutane nacho mezani!!!
 
Mapishi ni kujaribu tu wii!!
Nakumbuka nilikuwa nikitaka kujifunza pishi jipya naandaa mahitaji then najifungia jikoni,nikiharibu namwaga na kesho najifungia tena,hawatajua najifunza nini mpaka siku nikiweza wakutane nacho mezani!!!

True Ennie.....ila mie nna kisirani siku nkipika chakula kikiwa tofauti na nnavyotaka nakasirika na sikipiki kwa mda.....lol
 
Last edited by a moderator:
Nakumbuka wakati najifunza kupika sambusa/samosa..basi nikaandaa vitu vyangu..nikazifunga vizuri nkachemsha mafuta,yalivyopata moto nikaweka sambusa zangu,looh zikaanza kufunguka,mchanganyiko wote ukapanda juu...nililiaje? Kumbe ile chapati ilikuwa pana sana.. Kesho yake nikajaribu tena na tena mpaka nikafuzu

Kila kitu ni kujaribu na kutokata tamaa

Mapishi ni kujaribu tu wii!!
Nakumbuka nilikuwa nikitaka kujifunza pishi jipya naandaa mahitaji then najifungia jikoni,nikiharibu namwaga na kesho najifungia tena,hawatajua najifunza nini mpaka siku nikiweza wakutane nacho mezani!!!
 
True Ennie.....ila mie nna kisirani siku nkipika chakula kikiwa tofauti na nnavyotaka nakasirika na sikipiki kwa mda.....lol

Pole.
Mimi nikilipania pishi nakuwa kama nimetia nia na nitalirudia mpaka likubali!
Kama naelekezwa na mtu basi atajuta maana nitampigia simu kila ninapohisi mambo yanaenda kombo!!
Ila kupika raha sana!!
 
Uwiiii!! Umenikumbusha mbali best,wakati najifunza kachori zilivyokuwa zinatawanyika.
Shida yangu mie napenda mno kucheka,ukisikia kicheko na niko mwenyewe jikoni ujue mambo yameshaharibika,nitacheka mpaka nitoe machozi ila kesho niajaribu tena!!!
Kutokata tamaa ndio siri kubwa
 
Mapishi ni kujaribu tu wii!!
Nakumbuka nilikuwa nikitaka kujifunza pishi jipya naandaa mahitaji then najifungia jikoni,nikiharibu namwaga na kesho najifungia tena,hawatajua najifunza nini mpaka siku nikiweza wakutane nacho mezani!!!

Itabidi nijifunze maana mie najua vile vyakula vya kawaida kawaida tu
ila vingine nachemka kabisaa siku hizi nashinda huku nizidi kupata maujuzi THANKS
 
Pole.
Mimi nikilipania pishi nakuwa kama nimetia nia na nitalirudia mpaka likubali!
Kama naelekezwa na mtu basi atajuta maana nitampigia simu kila ninapohisi mambo yanaenda kombo!!
Ila kupika raha sana!!

Raha sana hususan ukiwa na vifaa kamili vya jikoni.....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 

Kachori nazo zina upuuzi ila nkupe ujanja mmoja ule uji weka na yai zinakua hazipasuki alafu utamu unazidi

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…