Mrs Kharusy
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 1,244
- 671
Hahahaha...ni kweli kabisa....nilipata ugen wa ghafla mida kama sa tisa alasiri na mlo wa mchana ulishakwisha nikaona msosi wa haraka hapa ni tambi/spagett na mayai...
Sasa hiyo mboga mayai.....siunajua ile haraka ee,kitunguu kikaungua...nikabadili fasta...ile namalizia kukausha tambi zangu et wageni wakaaga wanaondoka wamepata sim ya dharula...nilihisi kupasukaaa
Lol...pole. yaani ni km vile kusudi ukiwa unatakA kiyu kitoke vizuri ndo mchafukoo