Egg chops

Egg chops

Mahitaji

1)Mayai yaliochemshwa (kata pande 2 kila yai)
2)Viazi
3)Mayai mabichi
4)Garam massala
5)Pilipili manga
6)Pilipili ya kuwasha
7)Limao au ndimu
8)Bread crumbs au unga wa ngano
9)Chumvi kiasi
10)Mafuta ya kupikia



Namna ya kutaarisha


1)Chemsha viazi hadi kuwiva then bonda bonda hadi iwe laini

2)Add chumvi,garam masala,pilipili na ndimu...changanya vizuri

3)Then tengeza duara kwa hivo viazi then weka kipande cha yai kati...weka pembeni

4)Pakaa unga hizo round za viazi na mayai....
5)Weka mafuta katika karai jikoni yapate moto


6)Vunja mayai then yachanganye vizuri....then chukua hizo round tia kwenye mayai hakikisha mayai yanaenea vizuri

7)Dumbukiza katika karai na kaanga hadi ziwe brown


8)Egg chops tayari kwa kuliwa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Ahsante kwa kunijuza.sasa nitaanza kuziandaa
 
Mahitaji

1)Mayai yaliochemshwa (kata pande 2 kila yai)
2)Viazi
3)Mayai mabichi
4)Garam massala
5)Pilipili manga
6)Pilipili ya kuwasha
7)Limao au ndimu
8)Bread crumbs au unga wa ngano
9)Chumvi kiasi
10)Mafuta ya kupikia



Namna ya kutaarisha


1)Chemsha viazi hadi kuwiva then bonda bonda hadi iwe laini

2)Add chumvi,garam masala,pilipili na ndimu...changanya vizuri

3)Then tengeza duara kwa hivo viazi then weka kipande cha yai kati...weka pembeni

4)Pakaa unga hizo round za viazi na mayai....
5)Weka mafuta katika karai jikoni yapate moto


6)Vunja mayai then yachanganye vizuri....then chukua hizo round tia kwenye mayai hakikisha mayai yanaenea vizuri

7)Dumbukiza katika karai na kaanga hadi ziwe brown


8)Egg chops tayari kwa kuliwa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
farkhina my dear hem niambie na zengine naonaga mashughulini za nyama kusaga wanawekaga na kotmiri etc ila ile nyama hua kavukavu ila inashikana hata kwa kababu hua hivo nyama unaenjoy maana hua kavu..swali. .una idea wanaweka nn ili ishikane at the same time inaonekana kavu kavu(yaani hapa kinachochanganyiwa nadhani hua si mayai)
 
Last edited by a moderator:
Nakumbuka wakati najifunza kupika sambusa/samosa..basi nikaandaa vitu vyangu..nikazifunga vizuri nkachemsha mafuta,yalivyopata moto nikaweka sambusa zangu,looh zikaanza kufunguka,mchanganyiko wote ukapanda juu...nililiaje? Kumbe ile chapati ilikuwa pana sana.. Kesho yake nikajaribu tena na tena mpaka nikafuzu

Kila kitu ni kujaribu na kutokata tamaa

Sometime it happens....mm nachukiaga nikiwa na wageni halaf jiko likinigomea...mh hizo hasira.
 
Mi huwa najaribu catless zinatawanyika nishachoka

My dear pia angalia aina ya viazi..km upo tz(huko kwengine sijui) ukiwa unataka kupika katles au kachori tumia viazi vyekundu na kwa chips tumia vile vyeupe utaenjoy...vyekundu hua ni vikavu yaani unavyovibonda pale hata ukiadd na hayo maji ya ndim havina tazizo.
 
My dear pia angalia aina ya viazi..km upo tz(huko kwengine sijui) ukiwa unataka kupika katles au kachori tumia viazi vyekundu na kwa chips tumia vile vyeupe utaenjoy...vyekundu hua ni vikavu yaani unavyovibonda pale hata ukiadd na hayo maji ya ndim havina tazizo.

Asante ntajaribu na vyekundu
 
farkhina my dear hem niambie na zengine naonaga mashughulini za nyama kusaga wanawekaga na kotmiri etc ila ile nyama hua kavukavu ila inashikana hata kwa kababu hua hivo nyama unaenjoy maana hua kavu..swali. .una idea wanaweka nn ili ishikane at the same time inaonekana kavu kavu(yaani hapa kinachochanganyiwa nadhani hua si mayai)

Ni kama katles tu ati sema hiyo unaweka yai ndani


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
My dear pia angalia aina ya viazi..km upo tz(huko kwengine sijui) ukiwa unataka kupika katles au kachori tumia viazi vyekundu na kwa chips tumia vile vyeupe utaenjoy...vyekundu hua ni vikavu yaani unavyovibonda pale hata ukiadd na hayo maji ya ndim havina tazizo.

Upo sawa kabisaaa.....mie huku nnazotumia kupika kachori ama katlesi nshazijuulia ni mfuko wa rangi gani maana nyengine zinasumbua sana zile za kuteleza loh katles zinakua mbayaaaa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kukosea ndo kujifunza mamangu..siku nyingine nachekwa..afu wananitia moyo nami najitahidi najikuta nafuzu..

Hapa nna vitabu vya mapishi..mara ya kwanza kupika pilau na chapati za kukanda nilifwata maelekezo ya kitabu na nikaweza

hehee basi mlivoniambia hivi jana nimewazaje leo asubuhi nimeanza na kupractise nimeweka nia
this year lazima nijue kupika vyakula vingine ambavo sivijui.

nahisi hiyo ndio nimeiongezea kwenye To do list yangu this year kujifunza mapishi
 
Kuna z nyama tupu my dear hawaweki viazi ni tamu nazo !!

Nshaelewa mama ile kushikana ni mayai yale ndio yanafanya kushikana kuna nyengine za samaki ushawahi kula? Za samaki ni nzuri zaidi unatumia samaki wale wasio na miba mingi wale wakubwa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
hehee basi mlivoniambia hivi jana nimewazaje leo asubuhi nimeanza na kupractise nimeweka nia
this year lazima nijue kupika vyakula vingine ambavo sivijui.

nahisi hiyo ndio nimeiongezea kwenye To do list yangu this year kujifunza mapishi

All the best H.O.E

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Nshaelewa mama ile kushikana ni mayai yale ndio yanafanya kushikana kuna nyengine za samaki ushawahi kula? Za samaki ni nzuri zaidi unatumia samaki wale wasio na miba mingi wale wakubwa

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

Yap nishakula...tamuje!!!
 
Sometime it happens....mm nachukiaga nikiwa na wageni halaf jiko likinigomea...mh hizo hasira.

Hahahaha...ni kweli kabisa....nilipata ugen wa ghafla mida kama sa tisa alasiri na mlo wa mchana ulishakwisha nikaona msosi wa haraka hapa ni tambi/spagett na mayai...

Sasa hiyo mboga mayai.....siunajua ile haraka ee,kitunguu kikaungua...nikabadili fasta...ile namalizia kukausha tambi zangu et wageni wakaaga wanaondoka wamepata sim ya dharula...nilihisi kupasukaaa
 
hehee basi mlivoniambia hivi jana nimewazaje leo asubuhi nimeanza na kupractise nimeweka nia
this year lazima nijue kupika vyakula vingine ambavo sivijui.

nahisi hiyo ndio nimeiongezea kwenye To do list yangu this year kujifunza mapishi

Natamani hata niende koz ya muda mfupi ya mapishi kwa ajili ya familia tu...napenda sana kujifunza vitu vipya na hata hivyo jf-chef nimejifunza mengi

Cc farkhina
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom