farajamilele
Member
- Feb 12, 2014
- 91
- 63
- Thread starter
- #61
Mahitaji
1)Mayai yaliochemshwa (kata pande 2 kila yai)
2)Viazi
3)Mayai mabichi
4)Garam massala
5)Pilipili manga
6)Pilipili ya kuwasha
7)Limao au ndimu
8)Bread crumbs au unga wa ngano
9)Chumvi kiasi
10)Mafuta ya kupikia
Namna ya kutaarisha
1)Chemsha viazi hadi kuwiva then bonda bonda hadi iwe laini
2)Add chumvi,garam masala,pilipili na ndimu...changanya vizuri
3)Then tengeza duara kwa hivo viazi then weka kipande cha yai kati...weka pembeni
4)Pakaa unga hizo round za viazi na mayai....
5)Weka mafuta katika karai jikoni yapate moto
6)Vunja mayai then yachanganye vizuri....then chukua hizo round tia kwenye mayai hakikisha mayai yanaenea vizuri
7)Dumbukiza katika karai na kaanga hadi ziwe brown
8)Egg chops tayari kwa kuliwa
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ahsante kwa kunijuza.sasa nitaanza kuziandaa