Mrs Kharusy
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 1,244
- 671
Hahahaha...ni kweli kabisa....nilipata ugen wa ghafla mida kama sa tisa alasiri na mlo wa mchana ulishakwisha nikaona msosi wa haraka hapa ni tambi/spagett na mayai...
Sasa hiyo mboga mayai.....siunajua ile haraka ee,kitunguu kikaungua...nikabadili fasta...ile namalizia kukausha tambi zangu et wageni wakaaga wanaondoka wamepata sim ya dharula...nilihisi kupasukaaa
Umenichekesha bibie mie bajia kila nikizidumbukiza kwenye mafuta zinatawanyika..nimeachana nazo kwanza..
Lol...pole. yaani ni km vile kusudi ukiwa unatakA kiyu kitoke vizuri ndo mchafukoo
anapiga gim hatari
Thank you..nikichanganya na hiyo signature yako sasa
inanipa changamoto za kujipanga zaidi
Oooh pole jamani...jaribu tena na tena....ule mchanganyiko wa uji wa dengu unatakiwa uwe mzitoo
Ukiwa mwepesi lazima ziachane
farkhina mie naomba unielekeze zile eggchop za mayaivna nyama ya kusaga.
jamani kwa muonekano tu huku mie mate yamenijaa
Mahitaji
1)Mayai yaliochemshwa (kata pande 2 kila yai)
2)Viazi
3)Mayai mabichi
4)Garam massala
5)Pilipili manga
6)Pilipili ya kuwasha
7)Limao au ndimu
8)Bread crumbs au unga wa ngano
9)Chumvi kiasi
10)Mafuta ya kupikia
Namna ya kutaarisha
1)Chemsha viazi hadi kuwiva then bonda bonda hadi iwe laini
2)Add chumvi,garam masala,pilipili na ndimu...changanya vizuri
3)Then tengeza duara kwa hivo viazi then weka kipande cha yai kati...weka pembeni
4)Pakaa unga hizo round za viazi na mayai....
5)Weka mafuta katika karai jikoni yapate moto
6)Vunja mayai then yachanganye vizuri....then chukua hizo round tia kwenye mayai hakikisha mayai yanaenea vizuri
7)Dumbukiza katika karai na kaanga hadi ziwe brown
8)Egg chops tayari kwa kuliwa
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Naomba nikuandalie hyo kitu weekend ijayo
ooops ilikuwa usingizi huwezi amini sikuona ndo naona shosti nipo huku Mexico
Hahahahaha basi nlidhani kaka Jerrymsigwa kakuficha lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Akitoka Mexico anapitia Hawaii then anakuja kunipa hi kabla ua kutua Tz farkhina
Fakhrina. asante kwa maekezo yako mazuri wakati wote. ila nina swali hapo kwenye mahitaji kuna hitaji la mayai na yakatwe sehemu mbili. Na hapo kwenye matayarisho umesema viazi vitengezwe shimo... na kipande cha yai kiwekwe hapo..halafu ifanyike duara! swali langu je hili yai kipande halitachanguka? swali linaendelea baada ya jibu.....
leo nimetengeneza uji mzito zimetoka vizuri hizo🙂