Egg chops


Lol...pole. yaani ni km vile kusudi ukiwa unatakA kiyu kitoke vizuri ndo mchafukoo
 
Umenichekesha bibie mie bajia kila nikizidumbukiza kwenye mafuta zinatawanyika..nimeachana nazo kwanza..

Oooh pole jamani...jaribu tena na tena....ule mchanganyiko wa uji wa dengu unatakiwa uwe mzitoo
Ukiwa mwepesi lazima ziachane
 
farkhina mie naomba unielekeze zile eggchop za mayaivna nyama ya kusaga.
 
farkhina mie naomba unielekeze zile eggchop za mayai na nyama ya kusaga.
 

as ussually ur the best ila hujaonyesha wapi unatumia bread crumbs au ngano mama??
 
as ussually ur the best ila hujaonyesha wapi unatumia bread crumbs au ngano mama??

Step number 4 nimeonesha amu...hivi ulikua wapi shosti

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Step number 4 nimeonesha amu...hivi ulikua wapi shosti

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

ooops ilikuwa usingizi huwezi amini sikuona ndo naona shosti nipo huku Mexico
 
Last edited by a moderator:
Fakhrina. asante kwa maekezo yako mazuri wakati wote. ila nina swali hapo kwenye mahitaji kuna hitaji la mayai na yakatwe sehemu mbili. Na hapo kwenye matayarisho umesema viazi vitengezwe shimo... na kipande cha yai kiwekwe hapo..halafu ifanyike duara! swali langu je hili yai kipande halitachanguka? swali linaendelea baada ya jibu.....
 

No unanya ile yai kulitengezea kama nyumba yaani liwe katikati kwa mkunguka wa viazi...

Yai kama yai unaliziba lisionekana kwa viazi hope umenielewa


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…