INAUZWA Eggs Incubators zinapatikana kwa bei nafuu

Urban86

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
279
Reaction score
130
ECO FARMS INNOVATIVES ni wasambazaji wa mashine za kisasa zenye ubora “Automatic” za kutotolesha vifaranga vya kuku, kwale, kanga, bata n.k. zenye ubora kwa bei nafuu.
Zipo za mayai 48, 96, 176, 264, 352, 528 na 1056.
Bei zetu ni nafuu sana kama ifuatavyo:
Ya mayai 48 ni 350,000
ya mayai 96 ni 700,000
ya mayai 176 ni 1,000,000
ya mayai 264 ni 1,250,000
ya mayai 352 ni 1,500,000
ya mayai 528 ni 2, 100,000
ya mayai 1056 ni 2,850,000
Faida za Mashine;
Zinatumia Umeme Kidogo-: toka 100W-200W
Machine zinatotoa zaidi ya asilimia 95% ya mayai yote. Kila machine ina tochi maalum ya kukagua uhai wa yai
Full Automatic– Zina mfumo wa ndani wa kugeuza mayai, kuthibiti Joto na Unyevu ndani ya mashine
Zinatunza joto kwa muda wa saa 5 baada ya umeme kukatika.
Mafunzo ya namna ya kutumia na ushauri ni bure kwa muda wa mwezi 1.

Tunapatikana: Mwananchi Relini-Mandela Road nyuma ya ukumbi wa Hepenon -Dar es salaam.
Simu: 0755 571604, 0718 106434, 0783095169 na 0656714 885

Karibuni sana.
 
Hiyo mini incubator ya mayai 48 naihitaji. Lakini naomba kujua guarantee yake ni muda gani ?
 
Inatumia Siku ngapi mpaka kutotoa
 
Bei zetu mpya kwa sasa kama ifuatavyo:
Ya mayai 48 ni 350,000
ya mayai 96 ni 550,000
ya mayai 176 ni 900,000
ya mayai 264 ni 1,150,000
ya mayai 352 ni 1,400,000
ya mayai 528 ni 1,900,000
ya mayai 1056 ni 2,500,000
Faida za Mashine;
Zinatumia Umeme Kidogo-: toka 100W-200W
Machine zinatotoa zaidi ya asilimia 95% ya mayai yote. Kila machine ina tochi maalum ya kukagua uhai wa yai
Full Automatic– Zina mfumo wa ndani wa kugeuza mayai, kuthibiti Joto na Unyevu ndani ya mashine
Zinatunza joto kwa muda wa saa 5 baada ya umeme kukatika.
Mafunzo ya namna ya kutumia na ushauri ni bure kwa muda wa mwezi 1.

Tunapatikana: Mwananchi Relini-Mandela Road nyuma ya ukumbi wa Hepenon -Dar es salaam.
Simu: 0755 571604, 0718 106434, 0783095169 na 0656714 885 pia
facebook page: Eco Farms Innovatives instagram: ecofarmsinnovatives
Karibuni sana.[/QUOTE]
ECO FARMS INNOVATIVES ni wasambazaji wa mashine za kisasa zenye ubora “Automatic” za kutotolesha vifarangavya kuku, kwale, kanga, bata n.k. zenye ubora kwa bei nafuu.
Zipo za mayai 48, 96, 176, 264, 352, 528 na 1056.
Bei zetu ni nafuu sana kama ifuatavyo:
Ya mayai 48 ni 350,000
ya mayai 96 ni 700,000
ya mayai 176 ni 1,000,000
ya mayai 264 ni 1,250,000
ya mayai 352 ni 1,500,000
ya mayai 528 ni 2, 100,000
ya mayai 1056 ni 2,850,000
Faida za Mashine;
Zinatumia Umeme Kidogo-: toka 100W-200W
Machine zinatotoa zaidi ya asilimia 95% ya mayai yote. Kila machine ina tochi maalum ya kukagua uhai wa yai
Full Automatic– Zina mfumo wa ndani wa kugeuza mayai, kuthibiti Joto na Unyevu ndani ya mashine
Zinatunza joto kwa muda wa saa 5 baada ya umeme kukatika.
Mafunzo ya namna ya kutumia na ushauri ni bure kwa muda wa mwezi 1.

Tunapatikana: Mwananchi Relini-Mandela Road nyuma ya ukumbi wa Hepenon -Dar es salaam.
Simu: 0755 571604, 0718 106434, 0783095169 na 0656714 885 pia
facebook page: Eco Farms Innovatives instagram: ecofarmsinnovatives
Karibuni sana.
 
hutumia umeme wa nyumbani. kwa masaa 24 matumizi ya umeme hayazidi unit 3 kwa incubator ya mayai 176 hadi ya mayai 528
Vp umeme ukikatika kuna altenative nyingne???
 
Mimi Nina friji kubwa ya milango miwili nikitaka kuibadilisha iwe incubator gharama zake itakuwa bei gani
 
Nahitaji kuchukua hiyo ya 350000 but ningeomba muuzaji uniambie mnanipa guarantee ya muda gani??naomba nijibiwe haraka tafadhali.
 
Nahitaji kuchukua hiyo ya 350000 but ningeomba muuzaji uniambie mnanipa guarantee ya muda gani??naomba nijibiwe haraka tafadhali.

Naona suala la guarantee hataki hata kulisikia
 
Sorry kwa kuchelewa kukujibu. Guarantee ni miezi 6
 
Miezi 6 kwa mini incubators na kubwa ni mwaka 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…