INAUZWA Eggs Incubators zinapatikana kwa bei nafuu

INAUZWA Eggs Incubators zinapatikana kwa bei nafuu

Incubator ya mayai 36
FlyerMaker_15032021_145340.jpg
 
Inatotolesha kwa mda gani mayai ya kuku na joto lake huwa kiasi gani?
 
Inatotolesha kwa mda gani mayai ya kuku na joto lake huwa kiasi gani?
Ni siku zilezile sawa na kuku siku 21, Bata na kanga ni siku 28. Kiasi cha joto lao kinakuwa kimeshasetiwa tayari.
 
Angalia hii siku ambazo kila ndege hutumia. Hii ni asili haiwezekani kuiwahisha au kuichelewesha vinginevyo vifaranga hawatakuwa wazima.
FlyerMaker_07012021_105836.jpg
 
Fikiri kila mwezi unapata vifaranga 27-34 ndani ya miezi 6 utakuwa na kuku wasiopungua 180.

Inatumia umeme kidogo sana 35W sawa na unit 0.84 kwa siku.

Inatumia sola, betri ya 12v au umeme wa kawaida.

Kwa mfumo wa sola utahitaji sola betri ya kuanzia N70 na sola panel ya kuanzia 100W.

Ni rafiki sana kwa mazingira yasiyo na umeme wa uhakika.

Umeme wa AC ukikatika inajiswitch kwenye umeme wa sola/betri automatically.

Ina mfumo rafiki na tayari imeshafanyiwa settings nzuri za joto na unyevu.

Inageuza mayai yenyewe.

Inatotolesha mayai ya kuku, bata, kanga, njiwa, kware nk

Ina ufanisi wa asilimia 95%. Waranti miezi 6.

Jipatie sasa kwa bei ya ofa ya tsh 200,000 tu. Mikoani tunatuma kwa uaminifu na kwa wakati.

Tupo mkabala na shule ya msingi Yusuf Makamba barabara ya Jeshini ukitokea Ubungo external kuelekea Tabata Kimanga.

Tupigie: 0783095169 au 0755571604 au 0718106434


Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji hii Incubator mkuu, naipataje?
 
Mkuu ni kwa mda gani umeme ukikatikaayai yanaweza yakaharibika? Na mfumo wa solar kama njia mbadala in shi ngapi?
Incubator ya mayai 36 inaweza kutunza joto mpaka masaa 2 baada ya umeme kukatika. Uzuri mwingine hii unaweza kuunganisha umeme wa tanesco na wa sola kwa wakati mmoja. Hapo itatumia wa tanesco tu. Ukikatika mashine inajiswitch kutumia wa sola hapohapo.

Minimum uwe na solar panel ya 100W na betri ya N70. Bei zake uliza kwenye maduka ya vifaa vya sola.
 
Incubator ya mayai 36 ni incubator nzuri na sahihi ya kuanzia kujifunzia utotoleshaji kama ndio unataka kuanza ufugaji wa ndege.

Ni rahisi kuitumia, tayari imeshasetiwa, ni automatiki na inageuza mayai yenyewe pia inatumia umeme kidogo sana (35watts)

Utaipata kwa ofa ya sh 200,000 tuu.
Tupigie/whatsapp 0783095169 au 0755571604
FlyerMaker_15032021_145340.jpg
 
Automatic Incubator ya kisasa kabisa ya mayai 320 iliyoboreshwa zaidi.

[emoji3514]Trey zake unavuta kama droo hivyo ni rahisi kuweka na kutoa mayai.
[emoji3514] Sensa za joto na unyevu ni sahihi zaidi
[emoji3514]Totolesha mayai ya kuku, bata, bata mzinga, njiwa na kanga.
[emoji3514]Inatumia umeme au sola/betri ya 12v
[emoji3514]Ina ufanisi mkubwa wa zaidi ya 96%
[emoji3514]Ni full automatic na inageuza mayai yenyewe.
[emoji3514]Inafaa kunganisha waya wa umeme na wa betri kwa pamoja. Umeme wa tanesco ukikatika inapokea wa betri automatically.
[emoji3514]Utapata ofa ya vifaa vya kukuzia vifaranga bure.

Tupigie/whatsapp 0783095169 au 0755571604
IMG_20210624_163815.jpg
IMG_20220105_120233.jpg
 
Incubator nzuri sana hii ya kuanzia ufugaji. Usiache kuku waendelee kuharibu mayai.

Weka mayai kwa awamu tofauti. Totolesha kwa awamu tofauti kwa urahisi kabisa.

Unaweza kuchanganya pia mayai ya ndege tofauti na wakaanguliwa vizuri kabisa.

Tumia chupa za maji kuongeza maji kwenye incubator kwa urahisi kabisa kama hapo kwenye picha.

Incubator hii ni ya mayai 64. Bei yake ni sh 360,000 tu

Tupigie 0755571604 au 0783095169
IMG_20221207_142346_007.jpg
IMG_20221207_142403_632.jpg
IMG_20230302_162712_103.jpg
IMG_20221207_143346_632.jpg
 
Incubator yenye ufanisi wa juu ya mayai 300🎊

✅ Inafaa kwa Aina Mbalimbali za Mayai: Inakidhi mahitaji ya mayai ya kuku, bata, njiwa, na hata kanga.

✅ Full Automatic: Inageuza mayai yenyewe, ikipunguza kazi yako na kuongeza ufanisi wa uzalishaji.

😀 Rafiki kwa Mtumiaji: Mfumo rahisi wa kutumia unafanya hata wafugaji wapya waweze kuitumia bila shida.

🫴🏾Utaipata sasa kwa ofa ya sh 850,000 tu!

🎁Pata ofa ya vifaa vya kukuzia vifaranga bure!

📞Wasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi: 0755571604 au 0783095169.
PSX_20240119_165218.jpg


Hii ni fursa nzuri ya kuboresha biashara yako ya ufugaji wa vifaranga!"
 
Back
Top Bottom