pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Zuka hilo yani kazi yake ni kukurupuka tuSasa 'video confrencing' inahusiana vipi na e-governance? Platform za e-government kama e-visa, e-citizen zimekuwepo Kenya tangia mwaka wa 2015. Wakenya wamekuwa wakilipia na kupata huduma zote kutoka kwa serikali mitandaoni kwa miaka kadhaa sasa. Acheni ushamba. eCitizen - Gateway to All Government Services
Mbna huaga unapenda kuwavua nguo hawa jamaa...Tena Kenya iliboresha zaidi sekta hiyo kwa kubuni 'individualised IT support' kwenye kila gatuzi(county) na sub-counties. Kupitia Huduma Centres, ambapo kila raia anaweza akapata huduma zote za kiserikali za e-government. Kutoka birth certificates, vyeti vya shule, marriage certificates, licences za kibiashara, kufungua kampuni, tax returns, pasipoti hadi na certificate za good conduct kutoka kwa vitengo vya usalama n.k, n.k. Yote hayo kutoka kwa point moja kupitia e-government bila usanii usanii wa mafaili au red tape zozote zile za kiserikali. Study heaps praise on Huduma Centres
Sasa 'video confrencing' inahusiana vipi na e-governance? Platform za e-government kama e-visa, e-citizen zimekuwepo Kenya tangia mwaka wa 2015. Wakenya wamekuwa wakilipia na kupata huduma zote kutoka kwa serikali mitandaoni kwa miaka kadhaa sasa. Acheni ushamba. eCitizen - Gateway to All Government Services
Tena Kenya iliboresha zaidi sekta hiyo kwa kubuni 'individualised IT support' kwenye kila gatuzi(county) na sub-counties. Kupitia Huduma Centres, ambapo kila raia anaweza akapata huduma zote za kiserikali za e-government. Kutoka birth certificates, vyeti vya shule, marriage certificates, licences za kibiashara, kufungua kampuni, tax returns, pasipoti hadi na certificate za good conduct kutoka kwa vitengo vya usalama n.k, n.k. Yote hayo kutoka kwa point moja kupitia e-government bila usanii usanii wa mafaili au red tape zozote zile za kiserikali. Study heaps praise on Huduma Centres
[emoji848][emoji848]
mnatumia skype no wonder hamuwezi kuelewa Polycom video conferencing ni nn? Make use of google to know Polycom is more secure and it is a separate netwrok on its own!!
Hahaa!!umekielewa kwanza kile alichokiandili pingilinyweemnatumia skype no wonder hamuwezi kuelewa Polycom video conferencing ni nn? Make use of google to know Polycom is more secure and it is a separate netwrok on its own!!
Hahaaa!!tuletee za pande hzoLeta alichosema pingli-nywee tuainishe!Ninakuhakikishie serikari ya Kunyaland haina mfumo huu kwa taasisi zake za serikali! [emoji116]
https://www.polycom.com/content/dam.../data-sheets/soundstation-ip-7000-ds-enus.pdf
#Akilizahandshake#
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala mwathadan
Bado ywatafuta [emoji1787][emoji1787]Kwa nini hizi monitor tunaziona tu kwa boardroom za wakubwa?
Leta picha zikiwa ndani ya korti kwenye zinahitajika, ama zikitumika na majaji.
Hapa tunaona tu purpose yake ni kutangazwa na media, lakini hazisaidii kwenye kesi yoyote.
Kenya Judiciary haitumii video conferencing ili kufurahisha wajinga. Inaitumia ili kuendeleza kesi na kupeana amri.
Alafu, it beats purpose kama video conferencing inafanywa kwa chumba kilicho jaa watu, kama sababu ni kuzuia watu kujumuika.
Hapa Kenya jaji anaendeleza kesi kutoka ofisi yake ama nyumbani kwake.
Our video Judiciary video conferencing is functional, not for show.
Leta picha ama video kama hizi.