Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EGYPT 3 Tanzania 0 Dak 35 kipindi cha kwanza!
Duh, sikujua kumbe sisi wachovu namna hiii...lo
Hawa wajinga watatufunga 10 leo, aibu sana. Mwezi ujao ranking za fifa tutakuwa zaidi ya 100.
hilo ndilo lililo baki maana hii aibu...duhTuweke mpira kwapani, kipindi cha pili tusiingize timu
Hata Kaseja nae angefungwa tu coz game halichezwi na kipa pekee, pia kama wachezaji ndani mnaharibu haiwezekani kipa kuokoa michomo yote, so generally timu ni mbovu!We need Kaseja.....
We need Kaseja.....
We need Kaseja.....