Eid ulisheherekea vipi?

Mimi sio babu bana....nimepata habari kwamba mjukuu anataka wasio mababu...:hippie::hippie:


Digidigi anapomwombea simba kifo...!

Simba yupi, labda kama ni simba pori simba gani anakula marando
 
Nilikuwa kwa wafungwa wa magereza ya kingolwira pale tukiwapa eid yao nao wasikate tamaa ya maisha
 
Digidigi anapomwombea simba kifo...![/QUOTE]

Digi dig is no longer exist
 
Yupo mbona nilikuwa nae asubuhi

We ebu shindwa na ulegee ulikuwa na nani mimi au mama dig dig....kwanza unaongelea kwenye pilau,supu au makange tumboni kwa Roya, Rose na Bigirita
 
Nilikuwa kwa wafungwa wa magereza ya kingolwira pale tukiwapa eid yao nao wasikate tamaa ya maisha

Hongera ni watu wachache sana huwakumbuka wenye shida kama wagonjwa na wafungwa
 
wengine tulipata muda wakupumzika na kufanya mazoezi ya hiari ya kutosha kabisa...ckumbuki kama nilikula kwa jinc nilivyokuwa busy na rumba.

Nyamayao nakuaminia kwa kulisakata rumba
 
Hivi Babu hakuna JF ya jirani? maana naona waJF wote hapa ni Mababu atha mi thi thitaolewa??

Wala hakuna haja ya JF ya jirani....vijana tunaoheshimika kwa kina babu tupo tumejaa tele MJ1..so worry not

Ivi dawa na hangova ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…