Either ndoa ni ubatili ila watu wanafanya siri, au mimi natumia sana akili au sina akili, au niliempata hastahili

Either ndoa ni ubatili ila watu wanafanya siri, au mimi natumia sana akili au sina akili, au niliempata hastahili

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Kati ya hayo, moja wapo yaweza kua ni jibu sahihi au hata zaidi. Kwasasa mke wangu akiniudh chochote, pressure inapanda, na vidonda vya tumbo vuaamka.

Stress anazonipatia hata kwenye utafutaji pesa sipati hivyo huenda ndoa ni ubatili, walioimudu wanatumia akili na mimi sina akili.

Huenda kwenye ndoa hutakiwi kutumia akili nyingi ya ku analyze kila kitu.

Yawezekana ndoa su ubatili ila niliempata ndio hastahili kwangu.

Huu ndio muandiko wangu wa mwisho kuhusu mazila ndoa yangu. Kwasasa ni either ndoa ivunjike au nipate mchepuko wa kunituliza mawazo, pressure na ulcers vitaniua kwa stress za huyu mwanamke.

Most likely nitavunja ndoa.
 
FB_IMG_1718608281943.jpg
 
Kwani huyo mwanamke ni ngozi yako kwamba huwezi kuitoa? Kama mmefikia huko kwann kila mtu asiendelee na maisha yake? Kwann kuishi kwa tabu as if huyo mtu huwezi kuachana nae?
 
Tatizo mnawachukulia serious sana hao wake zenu, lazima wawaendeshe kama gari bovu!
 
Kati ya hayo, moja wapo yaweza kua ni jibu sahihi au hata zaidi. Kwasasa mke wangu akiniudh chochote, pressure inapanda, na vidonda vya tumbo vuaamka...
Siwezi jibu hili moja kwa moja.

Kama mwanzo alikupenda bila sababu ya kifedha ila sababu za kimuonekano then akachange jua wewe ni tatizo. Jirekebishe kama kiongozi then tazama atakavyobadilika.

Ila
 
Back
Top Bottom