Either ndoa ni ubatili ila watu wanafanya siri, au mimi natumia sana akili au sina akili, au niliempata hastahili

Either ndoa ni ubatili ila watu wanafanya siri, au mimi natumia sana akili au sina akili, au niliempata hastahili

Pesa ipo, sina gumu sema nimegundua ni mshamba, nachukulia ndoa serious sana. That it.
Well said

Kuwa kama maji, ndoa ni kitu rahisi sana

Ndoa ni kitu rahisi zaidi mkiwa na watoto

Ongeza mtoto utanishukuru
 
Wakati mwingine umbali au ubize unaponya ndoa hasa kama mdudu kaingia kati mnatengana kwa muda kujitafakari ili mdudu apite then mnarudiana.
Kuvunja ndoa ni furaha kwa wazazi lakini ni maumivu kwa watoto.
Bora kutengana kuliko kuachana pindi moto ukiwa mkali.
 
Mpumbavu uchepuka kusomba mikosi na laana zaidi nje anaileta kwenye ndoa yake ili kuchochea moto zaidi wa kuivunjilia mbali ndoa sababu ya ubinafsi.
Mchepuko hakupi amani bali raha ya mda kwa gharama za pesa yako au mwili wako cheap ngono.
Kuchepuka sio dawa hata huyo akishakuzoea ni Bora ya hata uliyenaye.
 
Hawa ndio wanaume yani akivurugwa na mke ataenda tena kutafuta mchepuko ndio amliwaze ambaye naye ni mwanamke, halafu wanadai eti wao hawahitaji sana ndoa wanaohitaji zaidi ndoa ni wanawake, wakati wanawake hata wakivurugwa na wanaume wana uwezo wa kutafuta furaha kupitia watu wengine au vitu vingine tu
Ila wewe una akili za kitoto sana, sijui kwann unashindwa kuprocess vitu simple kuelewa uhalisia.

Hili swala la kusema mwanaume ndie anahitaji ndoa kuliko mwanamke kwann unapenda sana kuliamini? [emoji848]

Sasa huoni huyo anaelalamika hapo ni kwasababu anamjali mkewe na anataka utulivu ila mke anatake advantage ya huo ukarimu na kumtreat vibaya anavyotaka? [emoji848]

Unahisi anakwenda kutafuta mchepuko ili amfurahishe mkewe au apate kile ambacho mkewe hajakizingatia kumpatia kama mume?

Unajua mwanaume anatafuta nini kwenye ndoa na mwanamke anatafuta nini kwenye ndoa na kwann ndio ipo? [emoji848]
 
Ila wewe una akili za kitoto sana, sijui kwann unashindwa kuprocess vitu simple kuelewa uhalisia.

Hili swala la kusema mwanaume ndie anahitaji ndoa kuliko mwanamke kwann unapenda sana kuliamini? [emoji848]

Sasa huoni huyo anaelalamika hapo ni kwasababu anamjali mkewe na anataka utulivu ila mke anatake advantage ya huo ukarimu na kumtreat vibaya anavyotaka? [emoji848]

Unahisi anakwenda kutafuta mchepuko ili amfurahishe mkewe au apate kile ambacho mkewe hajakizingatia kumpatia kama mume?

Unajua mwanaume anatafuta nini kwenye ndoa na mwanamke anatafuta nini kwenye ndoa na kwann ndio ipo? [emoji848]
Sasa mbona hicho ulichoandika tayari ni jibu tosha la kwanini mwanaume ndiye anayehitaji zaidi ndoa kuliko mwanamke sasa unachopinga ni nini, halafu mimi sijasema kwamba wanawake ndio hawahitaji kabisa ndoa kiujumla wote wanahitaji ndoa, ila level ya huo uhitaji inatofautiana kulingana na upatikanaji wa yale ambayo kila mmoja anayafuata ndoani nje ya ndoa yani hapa kinachoangaliwa ni kwamba in the long run nani anayeteseka zaidi akikosa ndoa
 
Back
Top Bottom