Either ndoa ni ubatili ila watu wanafanya siri, au mimi natumia sana akili au sina akili, au niliempata hastahili

Either ndoa ni ubatili ila watu wanafanya siri, au mimi natumia sana akili au sina akili, au niliempata hastahili

Hapa Duniani Kuna vitu viwili ukitaka kukubaliana navyo Ni lazima uwe mjinga la sivyo ukitumia akili hata kidogo tu lazima utashindwana navyo;

1.Ndoa
2.Dini
Tangu lini dini inaweza kukufanya mjinga acheni upotoshaji nyie
 
Hawa ndio wanaume yani akivurugwa na mke ataenda tena kutafuta mchepuko ndio amliwaze ambaye naye ni mwanamke, halafu wanadai eti wao hawahitaji sana ndoa wanaohitaji zaidi ndoa ni wanawake, wakati wanawake hata wakivurugwa na wanaume wana uwezo wa kutafuta furaha kupitia watu wengine au vitu vingine tu
 
why are you running
why are you running
why are you running??
 
Kati ya hayo, moja wapo yaweza kua ni jibu sahihi au hata zaidi. Kwasasa mke wangu akiniudh chochote, pressure inapanda, na vidonda vya tumbo vuaamka.

Stress anazonipatia hata kwenye utafutaji pesa sipati hivyo huenda ndoa ni ubatili, walioimudu wanatumia akili na mimi sina akili.

Huenda kwenye ndoa hutakiwi kutumia akili nyingi ya ku analyze kila kitu.

Yawezekana ndoa su ubatili ila niliempata ndio hastahili kwangu.

Huu ndio muandiko wangu wa mwisho kuhusu mazila ndoa yangu. Kwasasa ni either ndoa ivunjike au nipate mchepuko wa kunituliza mawazo, pressure na ulcers vitaniua kwa stress za huyu mwanamke.

Most likely nitavunja ndoa.
 
Kuhusu kuchepuka ni sawa lakini kuvunja ndoa si sawa hasa mkiwa na wàtoto. Nadhani umempa nafasi kubwa sana moyonimwako. Jaribu kumchukulia kawaida na uwe na mchepuko anaekutuliza moyo. Kwa kawaida kuna mapenzi na ndoa. Mara nyingine huwezi kupata mapenzi kwenye ndoa anayapata Kwa mchepuko lakini kila kitu kiwe na sehemu yake kwenye ndoa unajenga familia na Kwa mchepuko unatafta penzi.
 
Back
Top Bottom