Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

supu ya pweza ni dawa nzuri embu mwambie awe anajitahidi kuinywa. halafu inaweza ikawa ana piga punyeto pia,aiseee msijaribu punyeto mbaya ina haribu misuli ya m***oo
 
supu ya pweza ni dawa nzuri embu mwambie awe anajitahidi kuinywa. halafu inaweza ikawa ana piga punyeto pia,aiseee msijaribu punyeto mbaya ina haribu misuli ya m***oo

kama yuko Kigoma supu ya pweza anaipata wapi?
 
Habari wandugu,mim nimevumilia sana tabu hii naona nakaribia kuchoka ...Tatzo ni mpenzi wangu anashindwa kuniridhisha kila 2kifanya mapenzi hata dakika 8 hazifiki tayari anafika MSHINDO, sometimes he ejaculate during romance, am fade up with this situation kwa kuwa hata siku moja sijawahi kusikia km nimeduuu'.

Nikimwambia anasema anajitahidi lakin anashndwa nikimshauri aende kwa doctor anasema hawezi kupeleka mambo km hayo hospital......nisaidieni jamani isitoshe 2nampango wa kufunga ndoa lakin mim hata hamu ya NDOA IMEISHA kwa sababu hii.


Sema mama usaidiwe ila mie dawa ndo hata siijui...mambo ya poor performance sijui tumsaidieje shemeji yetu
 
japo mmeduu kabla ya ndoa lakini bado mnaweza kushirikiana kwa pamoja na kila mmoja akaenjoy tu vizuri; akuandae kwanza kabla hajaenject penis yake kwako! Unawez akakufanya vizuri na ukaridhika hata kuejucalate hatabila ya yeye kuinsert penis. Do that na mtaona mabadiliko
 
jamani ni kukadilia tu kwa kuwa ile v mwenzenu ninaanza kusikia raha ya penzi unasikia kamaliza,,ukimwambia naomba ukijisikia kufika toa nje kwanza anakubali lakini akifijisikia hatoi matokeo yake anasema ameshndwa kutoa eti kulikuwa na moto kwny naniii yangu.

du! Wewe kama dume vile..
 
Mimi nikianza kutwanga KINU saa 1 usiku namaliza saa 6 mchana siku ya 2 njoo kwangu kama unataka burudani isiyo na kipimo hebu ni PM plz uje onja Asali usiyo itarajia.

Chema chajiuza. . . Kibaya chajitembeza
 
Dakika tano zinatosha. Wewe ni mlafi kama unataka zaidi. Muda wa kufanya sex ni 1/16,000;one over sixteen thousand of your entire existence.
 
Habari wandugu,mim nimevumilia sana tabu hii naona nakaribia kuchoka ...Tatzo ni mpenzi wangu anashindwa kuniridhisha kila 2kifanya mapenzi hata dakika 8 hazifiki tayari anafika MSHINDO, sometimes he ejaculate during romance, am fade up with this situation kwa kuwa hata siku moja sijawahi kusikia km nimeduuu'.

Nikimwambia anasema anajitahidi lakin anashndwa nikimshauri aende kwa doctor anasema hawezi kupeleka mambo km hayo hospital......nisaidieni jamani isitoshe 2nampango wa kufunga ndoa lakin mim hata hamu ya NDOA IMEISHA kwa sababu hii.

VUMILIA MPENZI WA JAMAA. Hili tatizo linaitwa kwa lugha ya kawaida PREMATURE EJACULATION. Ni moja kati ya matatizo makubwa sana katika mahusiano na inasemekana zaidi ya robo ya wanaume wote wana tatizo hili. VUMILIA. Kwa bahati mbaya ni ugonjwa ambao hauna tiba ingawa wataalamu wa dawa za asili wanatangaza sana. Kwa wale washauri wa ndoa watakushauri kupumzika. MNAFANYA THEN MNAPUMZIKA ANGALAU MFIKA MBALI. Ni tatizo lakini hiyo ndiyo hali halisi. Usimmwage.
 
No Usimuache..hata wewe unaweza ukawa chanzo...too much excitement....mwambie apunguze mchecheto. usiweke akili yote kwenye game, kucheua ndani ya dakika 5 ni sawa kama bado anabaki ngangari na kuendeleza ligwaride sio tatizo..kama anacheka baada ya dakika tano basi hawezi tena ni tatizo...afanye mazoezi ya misuli ya uume..kuna threads tayari zinaelezea hatua zote, zisakanye hizo threads uzipitie nenda muelekeze. hili ni janga kwa vijana wengi, kizazi cha dotcom, chips mayai na fanta...ndio wanakabiliwa sana na hili tatizo. Pia kama maandalizi yanafanyika kwa ushirikiano nadhan hata hizo dakika 5 ni nyingi..maana hutahitaji tena kwani utakuwa umeshatosheka kwa maandalizi na hamu imekatika.
 
Rose ina maana anafika mshindo ndani ya dakika tano,je cha pili nacho anachukua muda gani na cha tatu? Inabidi utoe ufafanuzi wa kina kwaajili ya utatuzi,wakati mwingine jamaa yako labda hajapiga muda mrefu. Nadhani la kwanza lina kiherehere ila kama ndiyo style yake kwa la pili na tatu hadi kuendelea ujue kuna shida. Haya mambo muelekezane halafu atakuwa anakupuliza kwa nafasi mpaka unaomba maji ya kunywa.
 
Kwani mapenzi ni kufanya sex peke yake..Kuna vitu vingi kwenye mapenzi. Siyo lazima kufanya sex. Kwangu mimi sex ni cha karibia na mwisho.
Ningekuwa mimi huyo jamaa ningeshakupiga chini coz kwa upande wako mapenzi is all about doing sex..what if you enjoy sex na mtu hakujali, hakupi maendeleo, fukara etc. Kama unapenda sex kwangu usije wala ucni-PM
 
Wengine tunafanya sex only for reproduction purpose not otherwise..
 
Nachukia sana watu ambao badala ya kutoa msaada kama mtoa mada alivyoomba, wao hudhihaki na kuchangia utumbo! Hata msaada ukitolewa hautasomeka kwani wachangiaji wameharibu mada! ACHENI UPUUZI, KAMA HUNA MSAADA JUST COOL!!
 
sikulaumu...tatizo bwanako wa kwanza alikuwa anafanya komoa..kwahiyo wengine hata wajitahidi vp we unaona unaonewa
 
Back
Top Bottom