The Finest, mimi napingana na wewe hapa...Hebu jaribu kugonga konyagi za kutosha halafu uingie kwenye game uone!!
Hili limejadiliwa sana hapa JF.....ivi unashindwaje kukontroo kakitu kadogo kama hako....make ur woman happy bana
Hahaha!!! Rejao ingekuwa ni hivyo aisee hizi Konyagi zingekuwa zinawekwa pharmacy...ndio maana nikazungumzia nikisema Alcohol Consumption kwamba ukinywa pombe nyingi sana inaweza kukufanya ku-perform properly kunywa kiasi sio shida kabisaThe Finest, mimi napingana na wewe hapa...Hebu jaribu kugonga konyagi za kutosha halafu uingie kwenye game uone!!
Konyagi balaa...ukiona mwenzako anatumia, na wewe tumia pia....Otherwise...lol!!Yaani wewe ni nguvu ya nyagi??
Anyway, excessive consumption.
kegel exercise ndio jawabu la uhakika kwa wote wenye hili tatizo
OTIS
:A S thumbs_up: Kongosho you nailed itYaani wewe ni nguvu ya nyagi??
Anyway, excessive consumption.
Tumia butt plug.
Tatizo hilo huanza kwa kula ngunga mara kwa mara. Dawa yake ndio hiyo. Vitu vinakuwa wazi huko nyuma inabidi upate nsaada.
Hizi zinafanya kazi vizuri kwa marijali....wale ambao hawako vizuri ukiitumia hii mambo ndiyo inakumaliza kabisa!Hahaha!!! Rejao ingekuwa ni hivyo aisee hizi Konyagi zingekuwa zinawekwa pharmacy...ndio maana nikazungumzia nikisema Alcohol Consumption kwamba ukinywa pombe nyingi sana inaweza kukufanya ku-perform properly kunywa kiasi sio shida kabisa
WaliNazi, nadhani watu wameweka standars za mahaba so high kiasi kwamba wanaume wangi wanajikuta below standards wakati it is just normal. Do you know the average sexual intercourse is only 2 min 54 seconds (goal la kwanza)?
Mkuu mimi nikuambie ukweli tuu hili tatizo halihitaji kumuona tabibu, niwewe tuu jikita kufanya mazoezi ya viungo na jitahidi kula vema, epuka kula mavyakula yenye mafuta pili jizuie kunywa pombe kupiat kiasi na hakikisha unajizuia kumwingilia mwenzako bila kumuandaa....Wakuu nini dawa ya hili tatizo..najua linawagusa wengi sema tu hatupendi kuwa wazi..
Ila kwa vile hapa twatumia vivuli sidhani kama kuna haja ya kuficha...
Ishu yenyewe inayotusibu wanaume wengi sasa ktk mahaba ni kumaliza mapema... Yani unaishia tu kumchafua mpenzio wakat bado yu bariidii...
Wanaume wenzangu hii ni aibu na fedhea kubwa..
Naomba msaada wa kitiba...niepukane na kudharauliwa na mabint..
Kama na wewe una mapungufu haya sema... ''NDIOO''..
Kama ulikua nayo yakaisha sema ''SIOO'' na utoe tiba.
Mchango wako Mdada ni wa muhimu hapa...
Nawasilisha..