Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

wengine tu ni wazembe yaani zile push up and down anajionea ni kaaaaaaaaaaaaaaaazi,
 
Kwenye mada kama hizi mabinti hawa changii kwa wingi/kama sio kutochangia kabisa(tatizo la kitaifa)
 
Wacha kutazama K mana ukisha itazama sana inakutia aibu,..wewe chomeka kama vile kipofu, afu chochea ukiona unakaribia kufika kabla ya mwenzako slow down, mpaa akuambie nimeisha fika na wewe jitahidi ufike :A S shade:

Hivi na kale kajoto na kautelezitelezi inawezekana kweli hiyo?. Mie nnachofanyaga ni kuliacha hilo la kwanza lijitokee tuu lenyewe ila huwa sifanyi kosa, hapohapo naunga juu kwa juu kulitafuta la pili. Huwa hakawii kusema tayari ameshafika nishuke atakosa pumzi!
 
Kwenye mada kama hizi mabinti hawa changii kwa wingi/kama sio kutochangia kabisa(tatizo la kitaifa)


....kwanini hawataki kufunguka matatizo ya kiumeni.... au wanahisi watakua wanawadharau watu wao...
 
hili ni tatizo mtambuka..hivyo kuna nasaha nyingi zimeshatolewa kukabiliana nalo. lkn nasaha ya ukweli kuliko zote, jifunze kamchezo ka BK (katerero).. ukishajua jinsi ya kucheza hiyo BK wakati wa tukio mwenyewe utakubali...nawapa big-up watu wa BK manake bila kaufundi kao, ndoa nyingi zingalikuwa zinachezewa 'offside'
 


...hiyo BK (KATERERO)....yachezwaje... Kuwa wa msaada zaidi...
Otherwise waonekana mzushi...
 
The Finest, mimi napingana na wewe hapa...Hebu jaribu kugonga konyagi za kutosha halafu uingie kwenye game uone!!

Kwa wewe upo kwenye mkondo wa wanaotumia viagra na madawa mengine
kumbuka pombe ndi chanzo cha haya mambo mwisho wa siku! Sasa ikianza kukukataa utatumia nini ???
 
Last edited by a moderator:
1.Mwanamme wa kawaida inamchukua dakika 2 mpaka 5 kufika kileleni(1st score)
2.Mwanamke wa kawaida inamchukua dakika 15 mpaka 20 kufika orgasm.

Ukiona m/me anaenda zaidi ya 20 ujue anataka amridhishe mke/gf wake that sit,kama ana ngunga za kutosha haifiki dakika 3,Usidanganyike kula midawa ya ajabu ndio itakuja kukumaliza kabisa hyo,fanya mazoezi kwa ajili ya pumzi,fanye kergel exercise kwa ajili ya stamina ya dushelele,vyakula vya mifuta mingi acha,kunywa maji ya kutosha,pumzika vizuri kulala,kula matunda sana water melon(tikiti maji) etc
 
Mimi naweza kusema siyooo!
Kwa sa7bu naelekea kulimaliza tatzo hili!
Maherberist wamecomfirm kuwa hakuna gonjwa lisilo pona kwa chakula na matunda!
Kwa upande wangu nafanya mazoezi, maji mengi ya kunywa,vyakura asilia na matunda na mboga mboga za kijani nyama nilicha kula sembe stumii na vtu ya sukar stumiii nna maana bskut,soda,keki! Nyama ya samaki na kuku full stop!
Kifup nimekuwa vegeterian!
tumia na matiki wanadai kuwa ni "natural viagra"
 
mwambie mnapofanya romance ajaribu kutoa mawazo hapo afikirie vitu vingine itamsaidia kustahamili
 

umenielewa ushauri wangu
 
ukimuacha tunamchukua tunaipaka pilipili na tangawizi inakuwa bye
 

2 minutes! Labda 2 times 5 lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…