Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Yaani ndio kwanza kapiga denda, kakuvua pichu,ile anaweka tu hata dakika haijaisha kesha kojoa
early ejaculation, si ndio mkuu?

uoga nao ni kesi hapa, kama huna experience na haya mambo lazima jasho likutoke...
 
Japo umekosea spelling umeeleweka.

Tatizo hilo husababishwa na kupungukiwa nguvu zakiume.

Kupungukiwa nguvu zakiume nako kuna sababu zake ikiwamo punyeto, kuugua kisukari, kunywa pombe kupita kiasi, mwili Kuwait na mafuta kupita kiasi, unene kupita kiasi na nyingine nyingi.

Jaribu kufanya mazoezi kujenga afya bora na usipende sana kutumia madawa ya Wamasai wengi wao ni matapeli.
 
hiyo kitu kama ilivyotokea usijilaumu, ikitokea ndefu shukuru, ikitokea fupi shukuru pia mradi taste unapata!
 
Hivi jamani wale wazoefu watumbie hili tatizo linasababishwa na nn haswa!!!!

Umeamkia hilo, kweli Tanzania! Sasa na huyu naye apelekwe kwenye bunge la katiba halafu useme kuna representation!
 
Umeamkia hilo, kweli Tanzania! Sasa na huyu naye apelekwe kwenye bunge la katiba halafu useme kuna representation!
mkuu lakini hapa si ndio mahala pake? mbona mnawanyanyapaa members wenye ID ngeni masikioni mwenu?

kama unahisi uzi haufai si uripoti kwa Invisible aufute utoke hapa?

sasa MMU na bunge la katiba wapi na wapi? this is the weekend, let people remove some issues they have, kesho tuianze tukiwa fresh kabisa!

em tusiwashushe viwango hawa wenzetu, hata kama wanakosea! they also have some rights to be given something positively...

nalogoff!
 
Last edited by a moderator:
Jifunzeni lugha. . Kama vipi tumieni kiswahili
 
Hata mimi hii hali inanisumbua sana nikiingiza tu tayari namwaga vitu na unamkuta demu ndio kwanza hajamaliza basi anahangaika anashindwa hata kupata usingizi sijui hata nifanye nini wana JF mwenye ufahamu atusaidie ili tuweze kuwaridhisha wenzetu.
 
mazoez ni muhimu, pia inategemea na unavyocheza na mindi yako,
 
early ejaculation, si ndio mkuu?

uoga nao ni kesi hapa, kama huna experience na haya mambo lazima jasho likutoke...

Hahahaha umenichekesha na kunikumbusha mbali sanaa. Nakumbuka nikiwa dogo sanaa mara ya kwanza kabisa ndio mtoto kanipa uchi, i was like 14 / 15.. Ile siku nilikua na mixed feelings all at once. Nlikua muoga, mshamba at tha same time na nyege balaa. Mpaka naingiza nlikua na sweat si kitoto ukicheck mtoto alikua virgin na amejahaliwa kwa kweli. Alinisumbua sanaa. Mtoto yule akaja nogewa na game ikawa ni mwendo wa kufumuana daily (she was a neighbour and childhood friend of mine). Tym hzi Tushakuwa watu wazima yan nakwambia mpaka kesho kila tunapoonana ni kuchekana tu. Mapenzi ya utotoni yana raha yake asikwambie mtu.
 
kuokolewa na kuongoka, ili ufanywe mbali na dhambi pamoja na kuacha punyeto, uzinzi, movie za porn na kuacha kuvaa mavazi ya kikahaba.
 
punyeto ndio kisababishi kikubwa,chakufanya epuka punyeto na fanya mazoezi ya nguvu ili kuuchosha mwili afu wenyewe utatafuta nguvu za kupiga hiyo k outomaticaly
 
Hata mimi hii hali inanisumbua sana nikiingiza tu tayari namwaga vitu na unamkuta demu ndio kwanza hajamaliza basi anahangaika anashindwa hata kupata usingizi sijui hata nifanye nini wana JF mwenye ufahamu atusaidie ili tuweze kuwaridhisha wenzetu.

Muhimu ni kujua gear no. ngapi ndo unaondokea.

Kama ni 10 , hesabu kichwani 1 2 3 4 ..,,,,,7 8 9 chomoa
Pangua gia zirudi 1 halafu endelea tena .

Sio kosa la jinai kuchomoa unapohisi wazew wanataka kutoka.
 

Hivi ndivyo inavyotakiwa kukomenti. Wewe ni grete thinka. Kula 5.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…