Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,374
- 6,857
nina rafiki yangu mmoja nakaa nae hapa kanisimulia yaliyomkuta juzi akina na demu wake na tena ilikuwa ni kwanza wanakutana(kingono),sasa kaniomba ushauri nikaona ngoja niingie kwa wakubwa huku najua nitapata kitu cha kumjibu::
Sasa ni hivi huyu jamaa kuna box anapiga somewhere halafu box lenyewe ni nightduty yaani saa 12 jioni anaenda usiku kucha anarudi saa 1asubuhi,sasa tangu aanze hii kazi jamaa analalamika kwamba ''inshu'' hajawahi kuiona imesimika,tukampa kazi jumapili(haendi beba box) alale mapema halafu asubuhi akiamka aangalie penis kama imesimama au la...dah kufika asubuhi hamna kitu(kimesinyaa).
Sasa kwa bahati mbaya ile juzi dem wake ambaye akichat nae maranyingi akafanya suprise akatimba maskani,yaliyomkuta mshkaji ni kwamba ''inshu'' yake ilishindwa kusimama halafu akapiga bao kabla hata hajatumbukiza mzigo kunani...na baada ya hapo inshu ikazila kabisa...hadi dem kaondoka!!!
Sasa jamaa hii inshu imem-discarrage sana na anaona sababu kubwa ni kutolala usiku kwahiyo ana mpango wa kuacha kazi...sasa hapa jamaa nimsaidie vp,na hiyo kazii kaitafuta sana mpaka kaipata,sasa kadai anataka kuacha kisa inshu haisiki na ana tatizo la pre-ejaculation.......mawazoo yenu plze..!!
Sasa ni hivi huyu jamaa kuna box anapiga somewhere halafu box lenyewe ni nightduty yaani saa 12 jioni anaenda usiku kucha anarudi saa 1asubuhi,sasa tangu aanze hii kazi jamaa analalamika kwamba ''inshu'' hajawahi kuiona imesimika,tukampa kazi jumapili(haendi beba box) alale mapema halafu asubuhi akiamka aangalie penis kama imesimama au la...dah kufika asubuhi hamna kitu(kimesinyaa).
Sasa kwa bahati mbaya ile juzi dem wake ambaye akichat nae maranyingi akafanya suprise akatimba maskani,yaliyomkuta mshkaji ni kwamba ''inshu'' yake ilishindwa kusimama halafu akapiga bao kabla hata hajatumbukiza mzigo kunani...na baada ya hapo inshu ikazila kabisa...hadi dem kaondoka!!!
Sasa jamaa hii inshu imem-discarrage sana na anaona sababu kubwa ni kutolala usiku kwahiyo ana mpango wa kuacha kazi...sasa hapa jamaa nimsaidie vp,na hiyo kazii kaitafuta sana mpaka kaipata,sasa kadai anataka kuacha kisa inshu haisiki na ana tatizo la pre-ejaculation.......mawazoo yenu plze..!!