Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Habari zenu naombeni ushauri hivi ni tatizo gani linasababisha mwanaume awahi kukojoa wakati wa tendo yan unakuta sekunde chache kakojoa siku akijitahidi kuchelewa ni dk 3 yan hapo kajitahidi sana tena hizo dk 3 unakuta ni mpaka mwanamke ukae kama gogo usikatike ndoanafikisha, ila tofauti na hapo ni dk 1 tayar kakojoa msaada jamani afanyaje awe anachelewa maana mazoezi anafanya, anakula vizuri ila sielewi tatzo ni nn jaman
Maandalizi ya awali ndo tatizo
Njoo nikuelekeze inbox hapa naona aibu kueleza
 
We piga tu kama jogoo unataka uchelewe ili iweje mfano
 
UNA AKILI SANA... safi hii formation yangu hii... naikubali sana inaitwa 5-4-1
Kweli mkuu, hii ndio fomesheni bora kabisa, unawahi wewe unaongeza ulaini maana ule ulaini wake wa romance haudumu hata dk kushakauka km unamsugua vizuri, sasa nashangaa huyo anaesema dk 30 bila kukojojoa kutakua salama kweli huko au labda atumie vilainishi ili asimchubue mwenzie, na mwanamke uchi usipokua na ulaini wa kutosha ni vigumu sana kupiz haraka.
 
Wee umeadhirika na kutokua na ham na papuchi, vinginevyo hata kwa nyeto usingekojoa, jiandae kuoa mkono mkuu maana hata ukioa unaweza usipate mtoto kwa kujua huwezi mkojolea mwanamke
Hapo kwenye kukojolesha mwanamke ndipo umekosea. Yan nawakojolesha mpka aseme ametosheka bac mm ndyo naanza kuvuta hicia nikojoe.
 
Soma vizuri mkuu, nimesema huwezi kumkojolea maana umesema saa zingine hukojoi
 
Kweli mkuu, hii ndio fomesheni bora kabisa, unawahi wewe unaongeza ulaini maana ule ulaini wake wa romance haudumu hata dk kushakauka km unamsugua vizuri, sasa nashangaa huyo anaesema dk 30 bila kukojojoa kutakua salama kweli huko au labda atumie vilainishi ili asimchubue mwenzie, na mwanamke uchi usipokua na ulaini wa kutosha ni vigumu sana kupiz haraka.

yeah,Mungu alituumba na akatuwekea vilainishi vya asili...UTELEZI ni MUHIMU sana
 
Mh! Kwenye mambo ya puli napata wakat mgumu coz kaniambia hafanyagi na ninaishi nae chumba kimoja choo humo humo ndan akioga namwangalia sasa cjui atakuwa anafanyia wap hyo puli
Puli watu tunapigaga hata kazini.!
 
yeah,Mungu alituumba na akatuwekea vilainishi vya asili...UTELEZI ni MUHIMU sana
Sanaaa mkuu, hua sijui wanaopenda kavu wanafurahia nini, zaidi hapo naona ni kuumizana tuu, mi sipendi mnato kwa kweli zinasumbua sanaaa
 
KWA FAIDA YA WENGI............ njia nyingine ya KUJICHELEWESHA kufika KILELENI... jaribuni kufanya tendo la ndoa ukiwa/mkiwa mmesimama...... hapo utashangaa mwenyewe dk 20 kwenda mbele
 
Sanaaa mkuu, hua sijui wanaopenda kavu wanafurahia nini, zaidi hapo naona ni kuumizana tuu, mi sipendi mnato kwa kweli zinasumbua sanaaa
NDUGU... MNATO.. ina raha yake... ila ina masharti.. sharti la kwanza uhakikishe ROMANCE imekolea vilivyo... hapo ukichomeka propela.....
 
NDUGU... MNATO.. ina raha yake... ila ina masharti.. sharti la kwanza uhakikishe RO0MANCE imekolea vilivyo... hapo ukichomeka propela... utashangaa mwenyew
Kuna mnato ambae kila baada dk15 kapiz, ila kuna wale wanapiz kwa round tuu, wanakera sana kwa kweli, km hamna vilainishi unaeza kauka mate mdomon,
Kumbuka ile ya romance ni kianzio tuu, akipiz ndio inakua mubasharaa ila km anachelewa km wa kiume sio poa.
 
Kuna mnato ambae kila baada dk15 kapiz, ila kuna wale wanapiz kwa round tuu, wanakera sana kwa kweli, km hamna vilainishi unaeza kauka mate mdomon,
Kumbuka ile ya romance ni kianzio tuu, akipiz ndio inakua mubasharaa ila km anachelewa km wa kiume sio poa.
balaaa ukute unatumia SOKSI... ndio shida inakuja hapo... ukijisahau SOKSI inapasuka bila ya kujijua...
 
Habari zenu naombeni ushauri hivi ni tatizo gani linasababisha mwanaume awahi kukojoa wakati wa tendo yan unakuta sekunde chache kakojoa siku akijitahidi kuchelewa ni dk 3 yan hapo kajitahidi sana tena hizo dk 3 unakuta ni mpaka mwanamke ukae kama gogo usikatike ndoanafikisha, ila tofauti na hapo ni dk 1 tayar kakojoa msaada jamani afanyaje awe anachelewa maana mazoezi anafanya, anakula vizuri ila sielewi tatzo ni nn jaman
Pole sanal Tembocard,
Bila shaka ww ni Mdada, kutokana na maelezo yako apoo....

Basi ni hivi,
Mimi ni Mkaka, na hilo tatizo nimekua nalo, ila awali ckuaga nalo kabisa, nilikua niwa zaidi ya dakika 20..

NIMESOLVE VIPI..
nimefanikiwa kusolve ilo tatzo kwa kujizuia nisi ejaculate pindi napo ona lina kalibia kutoka..
last tym niliweza kufika adi dakika 15 bao la kwanza bila ku piga bao na round zote zizofata ivo ivo...

USHAURI WANGU KWAKO..
Ujue nikazi sana mwanaume kujizuia asi pige bao,
Nacho weza kukuambia ufanye, ni hiki ongea na mwenza wako, ajaribu kujizuia asi pige bao pale anapo hisi ndo linakuja, afanye haya

1. Apunguze speed
2. anaweza simama kabisa ku pga push-up
3. aku kiss, akutomase effectively yani
4. Anaweza toa mashine nje kabisa, au ww unaweza itoa ww mwenyewe
5. asifikilie sana apo, achukulie ni ktu cha kawaida tuu

WEWE FANYA HAYA
1. bila shaka hua una gundua kua sasa ndo anakalibia ku piga bao, basi ukigundua tuu ilo na unaona hujafika unapotaka basi usifanye chochote kitacho ongeza hisia zake, mfano (kulia kimahaba, kumkiss, kukata kiuno, kuifinyia kwa ndani, kumpapasa, au kufanya chochote tuu kinacho onyesha unafurahia kuja kwa ilo bao)

2. unaweza msaidia pia, kwa kumuuliza kitu ambacho hakiusiani kabisa na sex, yani mtoe kimawazo asi concentrate sana kwenye utam anao upata.

3. Akishindwa kulizuia, uconeshe kuchukia, jaribu ata kumpa moyo kua leo bby umechelewapo..

4. usikubali muanze kusex mapema, fanya romance mda wakutosha, dakika 30 ata saa moja mkiweza.

5. uki ona ana hamu saaaaana, basi apo ndo uckubali kabisaaaaa muanze kudu apo apo, we fanya uwezavyo yani muanze kusex mpaka pale utapo ona kama anakata atamaa ivi, apo ndo penyewe..

6. Jitaidi kutumia style tofauti tofauti, na uwe una chek ni style ipi anawai kukojoa na ipi anachelewa,

7. Akiweza kujizuia tuu basi fanyeni upesi mbadilishe style namuendelee kupiga push-up zenu..


HITIMISHO
mimi nimeweza bila hata kumshilikisha mwenzangu, nliona tuu kua ana pata tabu mana nilikua niwa dakika 3 adi 5 tuu..

Nimeweza bila kufanya ayo mazoez wala kunywaizo dawa za wamasai,
USIJARIBU KUMSHAURI ATUMIE izo čjui konyag, cjui kimasai, izo ni shida tuu, zitakuletea matatizo mbeleni..
 
Last edited:
Back
Top Bottom