Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Habari wandugu,mim nimevumilia sana tabu hii naona nakaribia kuchoka ...Tatzo ni mpenzi wangu anashindwa kuniridhisha kila 2kifanya mapenzi hata dakika 8 hazifiki tayari anafika MSHINDO, sometimes he ejaculate during romance, am fade up with this situation kwa kuwa hata siku moja sijawahi kusikia km nimeduuu'.

Nikimwambia anasema anajitahidi lakin anashndwa nikimshauri aende kwa doctor anasema hawezi kupeleka mambo km hayo hospital......nisaidieni jamani isitoshe 2nampango wa kufunga ndoa lakin mim hata hamu ya NDOA IMEISHA kwa sababu hii.
 
mpe daily na uwe unambadilishia style na kingine mwambie awe anapiga kuanzia nne ili azoee na kingine romance inabidi uiongee manjonjo ili asichukie kuwa na wewe..
 
Umeshawahi kujaribu na wengine kuona kama wanafikisha hizo dk8?
Ukimpata anayezidi jichukulie huyo huyo, huo ugonjwa hauna dawa.
 
Wewe ndio tatizo hapo,jitahidi kuongeza manjonjo,jitahidi moja litoke nje then la pili ndio aingize ndani,kazi ni kwako shee leo.
 
ehh bdada muhogo hadimu....sepaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa anakupa hamu tu wakazi gan huyo?
afu kwenda hosptal hatak?ahhh wewe ebu achana na uyo kibogoyo asokuwa na njino moja ...

bora uolewe na masikin lakin uwena uhakika na shuguli kuliko na ilo joka la kibisa....

ukiamua kuoana na mtu km uyo tegemea maumivu ndoan cz kuna siku utaenda tu kuxoxoxooox nje cz autaweza kuvumilia miaka yote kuna siku tu utaenda kwa mashababi yakakupe PANADOL WIMA...



BORA ANGEONYESHA USHIRIKIANO WA KWENDA HOSP...sasa km mkaidi hatak hosptal utafanyaje?ajui wewe unaitaj huduma?hana huruma na wala hakujali km angekujali angejali apatiwe tiba ili akuridhishe
 
Habari wandugu,mim nimevumilia sana tabu hii naona nakaribia kuchoka ...Tatzo ni mpenzi wangu anashindwa kuniridhisha kila 2kifanya mapenzi hata dakika 8hazifiki tayari anafika MSHINDO,sometimes he ejaculate during romance,am fade up with this situation kwa kuwa hata siku moja sijawahi kusikia km nimeduuu'.nikimwambia anasema anajitahidi lakin anashndwa nikimshauri aende kwa doctor anasema hawezi kupeleka mambo km hayo hospital......nisaidieni jamani isitoshe 2nampango wa kufunga ndoa lakin mim hata hamu ya NDOA IMEISHA kwa sababu hii.

Wewe ni jinsia gani? Nadhani hili ndo Tatizo la kufanya mapenzi kabla ya ndoa, acha ubinfsi kama wewe amekushinda unataka kumuachia nani hilo Tatizo???????
 
Habari wandugu,mim nimevumilia sana tabu hii naona nakaribia kuchoka ...Tatzo ni mpenzi wangu anashindwa kuniridhisha kila 2kifanya mapenzi hata dakika 8hazifiki tayari anafika MSHINDO,sometimes he ejaculate during romance,am fade up with this situation kwa kuwa hata siku moja sijawahi kusikia km nimeduuu'

During "romance" ndiyo wakati gani huo?
 
dk tano si mbaya kwa goli la kwanza (scientifically proved) ila inabidi akomae apige la pili ambalo hutumia kama 15 min hivi hapo lazima utakuwa kidogo umefika kilele... hata hivyo mpe game kila siku akuzoee..
 
...tatizo hujawahi kumsifia hata anapojitahidi. Ale pilipili nyingi kabla ya mchezo.
 
hawezi kurudia tena akishamaliza?

Usimpe haraka hadi na wewe ukaribie.
 
Wewe ndio tatizo hapo,jitahidi kuongeza manjonjo,jitahidi moja litoke nje then la pili ndio aingize ndani,kazi ni kwako shee leo.

duu wewe unapenda kuwalaum wanawake...sasa apo she leo ana tatizo gan?
aujjui km kuna matatizo aya kwa wanaume?


ni uyo kaka yako ndo mwenye pbm...na km angekuwa mstaarabu angekubal kwenda hsptal lakin kwa kuwa ni kalungeyeye km wewe ndo mana hatak kwenda hosptal.....AFU UNASEMA PBM NI MWANAMKE...hw come?yeye ndo mwenye SMG?

AFU USHAAMBIWA anamaliza ata kwenye romance....na akipanda ni fasta vile vile....ahh anakojoa kojoa kama bata dah ebu dada kimbiza mbali




km hatak kwenda hosptal mfungie MLANGO.
 
sikia we mdada kama mpenzi wako anakunywa mwambie anywe either symnorf(vodka) au konyagi ndogo plus red bull haina haja ya kwenda kwa docta utaona shughuli yake au kuna njia natural wakati akiona anakaribia anatakiwa abane zile pumb..xx na kila akitaka kukaribia anazibana hio njia nilipewa na mpemba mmoja nikajua uongo dah kumbe kweli...then uje utwambie tena kama katumia dakika ngapi
 
Kwani wewe unataka dakika ngapi????

Je kabla ya huyu umewahi kupata wa dakika zaidi ya hizo????

Nini kilikuvutia kwake in the first place??? Je hicho kitu bado kipo???
 
Hafiki dakika nane? Vijana mna kazi kweli. Inamaana wakati anasokomeza we macho yako yako kwenye saa. To me dakika nane naweza mkojolesha mwanamke raundi mbili... Maandalizi na maufundi tu mama. Afu mwambie aache kupiga punyeto.



BABU utaninunulia saa?
 
Rose unataka kufunga ndoa mbona mnafanya tendo la ndoa? unamdanganya mchaga wa watu mwache akaoe kwao
 
Ila na wewe mdada jiangalie pia. Huenda wewe ndo ukawa tatizo. Jichunguze mwanzo mwisho kabla hujanyoosha kidole cha lawama.
 
Back
Top Bottom