Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Wadau nisaidieni. Nina miaka 33. Nina tatizo la kumwaga haraka kila nifanyapo mapenzi, na kisha hunichukua muda mrefu kusimama kwa ajili ya kuendelea. Hii inasababishwa na nini na nini tiba yake? Najua wapo pia wenzangu wenye tatizo kama hili.
 
Wadau nisaidieni. Nina miaka 33. Nina tatizo la kumwaga haraka kila nifanyapo mapenzi, na kisha hunichukua muda mrefu kusimama kwa ajili ya kuendelea. Hii inasababishwa na nini na nini tiba yake? Najua wapo pia wenzangu wenye tatizo kama hili.

Mimi sina tatizo kama hilo so mie sio mwenzako
 
Wadau nisaidieni. Nina miaka 33. Nina tatizo la kumwaga haraka kila nifanyapo mapenzi, na kisha hunichukua muda mrefu kusimama kwa ajili ya kuendelea. Hii inasababishwa na nini na nini tiba yake? Najua wapo pia wenzangu wenye tatizo kama hili.
Ulishawahi kutumia mronge?
 
Mtafute Dr MziziMkavu atakusaidia huwa anaweka uzi wa hiyo makitu!
 
aisee baba yangu hata mimi sina tatizo kama lako


ngoja nipate mbege kwanza
 
cha muhimu ni kujiamini tu....practice make perfect...ukiwa na ukame sana hii mara nyingi utokea but ukifanya mara kwa mara utaona kawaida na utakuwa fresh mkuu, though tumsubiri mkuu MziziMkavu..
 
Last edited by a moderator:
Utakuwa unapiga/ulishawahi kupiga sana punyeto! Mwone dr kwa ushauri zaidi.
 
Piga puli kabla hujadinya...

Hina haja ya puli,watu wengi hawafahamu mbinu za kuchelewa au ikiwezekana unaweza jufika kilimani ukafunga breki na ukamsubiri mwenzio ambaye bado anapanda,haya mambo yanahitaji mazoezi ila ukijifunza taratibu utaanza kuzoea.Binafsi naenda moja kwa dk 30 hadi 40 ikiwezekana saa nzima.
Ushauri wa bure.
1.Acha kukoncentrate na tendo lenyewe.
2.Acha kukoncentrate na kuangalia sana maumbile mfano,******,matiti,hata K yenyewe.kwa kuwa baadhi yao maumbile yao yanakufanya usisimke na kupanda kileleni kwa kasi.
3.Piga story za nje ya hapo mlipo kwa kutafuta kisa cha kusikitisha au kusisimua ambacho hakihusiana na mapenzi.
Kwa leo naishia hapa.
 
Ndugu wana JF mimi nina tatizo la kuwai kuijaculate when am getting sex through uwa najitahidi kuicontrol hii hali ila nikipress dk moja mbili tayari through mi ni mgeni kidigo kwenye haya mambo huyu ndio mwanamke wangu wa kwanza kusex naye nina uwezo wa kurudia hata mara tano ila huwa namwaga fasta.JAMANI NAOMBA MSAADA WENU NIFANYAJE?
dah asa waga unaishia chalinze tu ,piga tizi labda na huyo demu anasemagaje ukishamaliza
 
Hina haja ya puli,watu wengi hawafahamu mbinu za kuchelewa au ikiwezekana unaweza jufika kilimani ukafunga breki na ukamsubiri mwenzio ambaye bado anapanda,haya mambo yanahitaji mazoezi ila ukijifunza taratibu utaanza kuzoea.Binafsi naenda moja kwa dk 30 hadi 40 ikiwezekana saa nzima.
Ushauri wa bure.
1.Acha kukoncentrate na tendo lenyewe.
2.Acha kukoncentrate na kuangalia sana maumbile mfano,******,matiti,hata K yenyewe.kwa kuwa baadhi yao maumbile yao yanakufanya usisimke na kupanda kileleni kwa kasi.
3.Piga story za nje ya hapo mlipo kwa kutafuta kisa cha kusikitisha au kusisimua ambacho hakihusiana na mapenzi.
Kwa leo naishia hapa.

atiii nn
 
Katerero lazima upige punyeto ndo utafaidi la sivyo utakojoa kabla mwenzako hajaanza kumwaga noma sana unakojoa mwenzio nyege haijapanda
hivi kumbe waga ndo hivyo mpaka wote nyege zipande ndo mfike kitonga dah asa mbona ............
 
Hina haja ya puli,watu wengi hawafahamu mbinu za kuchelewa au ikiwezekana unaweza jufika kilimani ukafunga breki na ukamsubiri mwenzio ambaye bado anapanda,haya mambo yanahitaji mazoezi ila ukijifunza taratibu utaanza kuzoea.Binafsi naenda moja kwa dk 30 hadi 40 ikiwezekana saa nzima.
Ushauri wa bure.
1.Acha kukoncentrate na tendo lenyewe.
2.Acha kukoncentrate na kuangalia sana maumbile mfano,******,matiti,hata K yenyewe.kwa kuwa baadhi yao maumbile yao yanakufanya usisimke na kupanda kileleni kwa kasi.
3.Piga story za nje ya hapo mlipo kwa kutafuta kisa cha kusikitisha au kusisimua ambacho hakihusiana na mapenzi.
Kwa leo naishia hapa.

duh! So ukisex unapiga story za msiba? Au unasimulia hadithi za abunuasi?.. Hii kali
 
Hili janga lawakumba wengi sana kwa kipindi hiki cha miaka ishirini kuendelea je ndio maana ya kuwa kizazi kinataka kutokomea kabisa katika sura na dunia hii au! Manaa me nashindwa elewa kila kona mabango mganga wa kienyeji anatatua tatizo la nguvu za kiume lakini bado inaonekana watu wanaendelea kupata taabu na tatizo hili je wanaojitangaza kua wao wanatatua tatizo hili wanarubuni watu na kuwaacha na matatizo yale yale au ndio watu wanaogopa kwenda kupata tiba hizi kwa kuogopa kuonekana kuwa wanamapungufu???
 
[h=2]Re: Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All?[/h]
Hili janga lawakumba wengi sana kwa kipindi hiki cha miaka ishirini kuendelea je ndio maana ya kuwa kizazi kinataka kutokomea kabisa katika sura na dunia hii au! Manaa me nashindwa elewa kila kona mabango mganga wa kienyeji anatatua tatizo la nguvu za kiume lakini bado inaonekana watu wanaendelea kupata taabu na tatizo hili je wanaojitangaza kua wao wanatatua tatizo hili wanarubuni watu na kuwaacha na matatizo yale yale au ndio watu wanaogopa kwenda kupata tiba hizi kwa kuogopa kuonekana kuwa wanamapungufu???​
 
[h=2]Re: Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All?[/h]
Hili janga lawakumba wengi sana kwa kipindi hiki cha miaka ishirini kuendelea je ndio maana ya kuwa kizazi kinataka kutokomea kabisa katika sura na dunia hii au! Manaa me nashindwa elewa kila kona mabango mganga wa kienyeji anatatua tatizo la nguvu za kiume lakini bado inaonekana watu wanaendelea kupata taabu na tatizo hili je wanaojitangaza kua wao wanatatua tatizo hili wanarubuni watu na kuwaacha na matatizo yale yale au ndio watu wanaogopa kwenda kupata tiba hizi kwa kuogopa kuonekana kuwa wanamapungufu??
 
[h=2] Re: Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All?
[/h]
Hili janga lawakumba wengi sana kwa kipindi hiki cha miaka ishirini kuendelea je ndio maana ya kuwa kizazi kinataka kutokomea kabisa katika sura na dunia hii au! Manaa me nashindwa elewa kila kona mabango mganga wa kienyeji anatatua tatizo la nguvu za kiume lakini bado inaonekana watu wanaendelea kupata taabu na tatizo hili je wanaojitangaza kua wao wanatatua tatizo hili wanarubuni watu na kuwaacha na matatizo yale yale au ndio watu wanaogopa kwenda kupata tiba hizi kwa kuogopa kuonekana kuwa wanamapungufu?
 
Premature Ejaculation is a topic that is kept under the wraps and not generally discussed openly. Even if you are facing this problem, you would gladly keep mum since you are obviously ashamed of your condition. Making love is a beautiful process

and nothing should ruin this delicate moment between you and your partner. The size of your penis, ejaculation time, erectile dysfunction, or even dry vaginal condition should not be allowed to come in the way of you and your partner's ultimate

expression of love and surrender. The following article deals with this most common problem. Premature ejaculation is a condition where a guy is not able to sustain himself for long and ejaculates soon after inserting his penis into his partner's

vagina. It is an annoying condition because sexual intercourse, which may satisfy you, is not satisfying for your partner. The cure mostly lies in self control for this condition means that you are obviously facing difficulties in controlling your hormones.

Although it is a very common occurrence, most of the men do not wish to discuss this matter and face the agony of dissatisfied partners and frustrated lovers. We have attempted to put an end to your nightmare by suggesting methods that can be used to cure premature ejaculation.


Premature Ejaculation Cure

Prolong The Foreplay
The real problem, with turning hard and ejaculating much before your partner does, is the difference in time that exists between you and your loved one. Foreplay shortens the time gap between the both of you. Using your hands, tongue and

words to satisfy her physical needs can be a great idea because this way it won't be long before she feels the sexual tension rising to new heights and once that is done, orgasm would be just around the corner – she'll release herself just about the same time when you can hold it no longer.


Squeeze Methods
The stop and start method is employed in the squeeze tactic. Pinch or squeeze the tip of you penis. For obvious reasons, do not pinch so hard that all the action stops once and for all. Squeeze fairly hard and firmly for a duration of about 10-20 seconds during which time allow no stimulation. This short commercial break will allow you to control your liquid for a longer period.

Diet
Avoiding alcohol, smoking and junk always helps. They are the root causes of all health related problems and this one in particular is no exception to the rule. A proper diet and exercise can cure your problem effectively.

Desensitizing Creams
Desensitizing creams will reduce the sensitivity in this delicate region and act like local anaesthetics. These creams can be applied prior to the sexual act or, as an alternative measure, you could also wear thick condoms to prolong the pleasure. Either ways you will be able to control the ejaculation since the stimulation will be reduced to a great extent.

Positions
"Woman on top" is said to be more effective when it comes to preventing premature ejaculation. The other missionary or animal style positions may not work in your favour if you are suffering from this syndrome. The positions in the lovemaking process are always an important decision between the partners – try all the known positions to know for sure which ones work for you as a couple.

Mind Power
When your body becomes an exquisitely erogenous zone then your mind has to take control of the situation – you must always remember that this is an act that involves two individuals and you cannot (just cannot) be selfish. You have to make

an attempt to satisfy your partner as well. Control your mind, try breathing techniques and, in extreme conditions, divert your mind a bit to prevent premature ejaculation.


Don't be under the impression that the above mentioned suggestions will show you results overnight. Discuss your problem with your partner; with her help and a little practise you can conquer this problem easily. However, if nothing works then you

must approach a physician but remember, stay away from the over the counter pills for your own sake and fertility – they cause more harm than you can imagine, in the long run.
Source.MziziMkavu ushauri zaidi unaweza kunitumia email Addres yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom