Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

mnatoa majibu mepesiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii lkn waaanga wa jambo hili ni wengiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hasa humu jf
 
..kamuome dokta haraka, dakika mbili mwenzako hata hajasikia chochote, alafu wadada wameota sugu siku hizi...hawakojoi kirahisi aisee!!
 
hebu jaribu kufukunyua humu kuna thread zenye ujazo wa kutosha
angalau zitakupa mbinu na utaweza kuhimili vile utakavyo
 
Wanawake wote wanaonipa pachupi wananiambia watanichapa, kisa nikiingiza tu ninakojoa kabla hata ya dakikambili,
Sasa nifanyeje nisikojoe haraka?
Hata nikipiga bao sita zote zinakuwa chini ya dakika mbili,

mkuu, ili kuepukana na hili tatizo unatakiwa upige mfululizo--bila kuchomoa mashine--unganisha mabao. ukishapiga la kwanza na kuendeleza la pili (bila kuchomoa na kupumzika) lazima utakaa sana.

mbinu ya pili ni kwamba unapopiga papuchi, ukikaribia kukojoa uwe unaacha 'kucheza', ukiacha kucheza lile bao linarudi na ukianza tena unakua kama umeanza upya.
 
muone daktari...ila kawaida kama bao la kwanza ilichukua dakika 2 basi yanayofuata muda huongezeza kadri ya idadi yake yaan la2 inaweza ikawa dakika 3 la3 ikachukua dakika 4-6 la4 dakika6-12 nakuendelea but lazima ziongezeke coz mbegu huanza kupungua so mda lazima uzidi......una tatito muone daktari..
 
Back
Top Bottom