Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
El Merreikh wameondoa kituo cha kazi pale Rwanda baada ya kufuzu hatua ya awali na sasa wamechagua kiwanja cha Morroco kama kituo cha kazi kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga.
El Merreikh wanaona kule Morroco ndio wanaweza kupata mabao 4 hadi 5 ili wakija hapa Taifa kazi ya kutafuta suluhu iwe nyepesi.
Kazi kwenu mliocheza na wenye njaa jana halafu mnajisifia kuwa mnajua mpira.
El Merreikh wanaona kule Morroco ndio wanaweza kupata mabao 4 hadi 5 ili wakija hapa Taifa kazi ya kutafuta suluhu iwe nyepesi.
Kazi kwenu mliocheza na wenye njaa jana halafu mnajisifia kuwa mnajua mpira.