El Merreikh Vs Azam FC 28/02/2015

Mpira umesimama kwanza kuna mchezaji wa EM anamzonga refa. Mambo ya kupoteza muda tu, washatuharibia pozi kwa Azam yetu.
 
I bet Azam out.
El mereikh watapata goli la pili. Itabidi kuwe na mikwaju ya penati. Na hapo ndipo chama langu Azam watakapochemsha. It is just betting.

I wish Azam could win; or at least continue in the next round.

Vipi mkuu ulikuwa na funguo za magoli ya El-Mereikh nini?
 
mmmh kama ndo hivi watz tubaki BIG brother tu, mpira hatuwezi zaidi ya uzinzi
 
mbona Live score inaonesha 1-0 hilo la pili nyie mnalitoa wapi?
 
hawa azam hawakujifunza kwa wenzao Yanga? Goli moja lingewasaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…