Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maji yamefurika mbugani huko nani anatapisha vyoo huko na hakuna nyumba? We unawaza mafuriko ya mjini yenye hasara tupu sie tunawaza mafuriko huko mbugani na maporini kusikokuwa na nyumba za watumamba wenyewe wakitoka nje ya mito wamekwisha, watafanywa kitoweo sawa na samki tu
Una Maanisha kambale?ndio, naihitaji ina faida kiuchumi, kuuza samaki kwa wingi, samaki wanaotokana na mafuriko ya mito na mabwawa, samaki hutoka huko na kuja kwenye kina kifupi cha maji, kuwavua inakuwa rahisi mno hata kwa mikono unawashika
ukileta habari za wanyama huwa wana sense danger na huhama haraka eneo hilo kabla hawajazingirwa na majimaji yamefurika mbugani huko nani anatapisha vyoo huko na hakuna nyumba? We unawaza mafuriko ya mjini yenye hasara tupu sie tunawaza mafuriko huko mbugani na maporini kusikokuwa na nyumba za watu
ndio, kambale, ningu na ngorongoro huwa na kiherere cha kutoka mtoni kuja kwenye kina kifupi kujitafutia chakula chaoUna Maanisha kambale?
Asante kwa taarifa mkuuChukua tahadhari mkuu, japo nyie wa kigamboni Athari itakuwa kidogo sana
kama hawana madhara waache wajihifadhi usiwapige fermigationNimeona sisimizi nyumbani kwangu wakipanda ukuta ,wanataka ingia ndani
MVUA YA DAR inanyesha kwa mafunguDar kubwa me kwangu yamenyesha manyunyu tu
Inanyesha baadhi ya maeneo tuMVUA YA DAR inanyesha kwa mafungu