mwanakijiji kama ni kweli wameleta pesa kula
Money ruls the world bwana, kama ni kumnunua Mkjj wanaweza kabisa kununua. Kwani nani alijuia akina Hiza Tambwe, Dr Kaburu, Ngawaiya etc wangenunuliwa. Watu hapa wanasema mwanakijiji anataka kurudishwa kundini, kundini lipi? Mwanakijiji mwenyewe hajawahi kuwa kwenye kundi labda kundi la nyuma ya screen ya computer sasa atarudishwa kwenye kundi gani? No one knows mwanakijiji, anonymos man ambaye amejifungia kwenye kachumba na komputer moja na ka microfone. hamna amjuae bwana kama nipicha watu tulizisave watanunua wangapi kwaajili ya picha? wao si ajabu wana muona mwana kijiji ni kichaa fulani aliyejikatia tamaa kabisa sasa kwa woga anapiga kelele huku kajificha nyuma ya komputer kama Kambwa kanakokimblia nyuma ya nyumba na kubweka.
lakini akili kichwani..."revolutionaries has no price taga..."..hivi kweli mtu mwenye akili anaweza kununuliwa ...
Mkubwa kwani nani kakuambia mwanakijiji anakili? angekuwa na akili asingeweka zile picha hapa na kuzitoa kwa sababu watu wamepiga kelele weka!weka! weka wengine wakampa sifa eti thats why I love this badboy Mkjj! naye sivyokuwa na akili akaweka. watu wakapiga kelele toa!toa!toa, akatoa.
kwani bei ya mtu ni shilingi ngapi....
wanaotaka kumununua au waliomnunua wanapoteza pesa yao kwa kuwa zimewazidi.....
Mbona mwanakijiji ni price less mzee kama sio vry cheap? Hivi kweli mwanakijiji akipewa kazi nzuri sasa hivi akiambiwa mwanakijiji unaenda China kuwa balozi wetu unafikiria atakataa? wewe unafikiri mwanakijiji mwenyewe anapenda kujificha kwenye komputa usiku na mchana kila siku hadi kaandika post zaidi ya 5000? Naapa mwanakijiji wakiamua kumnunua wala haitagharibu kitu ila atakuwa tuu kasaliti.
Rwabugiri, hayo ndiyo mawazo niliyoamka nayo leo.. sijui yataishia wapi lakini nimeamka nikiwa na hisia ya kukata tamaa, na hisia ya kuchoshwa na kujaribu kufikiri mkakati mwingine. Mkakati nilioamka nao leo ni wa kujiunga nao siyo wa mimi kubadilika.
Mwanakijiji mwenyewe huko anakobeba mabox kashakata tamaa watu bado mnamuona shujaa wa wenu. anawadanganya anataka kujiunga nao na si yeye kubadilia nana kawadanganya. wewe ukishajiunga na mafisadi nawe unakuwa fisadi mkuu wala usijidanganye eti naenda kuganga njaa.
kwanini unafikiri naitwa na Sisiemu, nimechagua mwenyewe baada ya kufikiri kwa makini. CCM ndiyo chama pekee kinachoweza kuingoza Tanzania na it is about time to recognize that na kujiunga na watawalao. Wakati mwingine inabidi mtu ucheze ngoma wanayopiga wengine hata kwa kutingisha mguu tu
Unajua mara nyingi mtu ayasemayo ndio yako kichwani mwake. Mwanakijiji si cheap nawaambia. Mwanakijiji hongera sana ku kuamua kutumua uhuru wako kujiunga na CCM chama unachokiona kinakufaa. Mimi sitaki kusema unarudi kundini kwani najua hujawahi kuwa kundini. Naona umeamua kwenda kucheza ngoma ya ufisadi na najua wakigundua kipaji chako cha ulaghai wanaweza kukushirikisha kwenye ulaji wa Kasungura.
Hasara pole sana kwa kulia lia mwenzako kakuzidi ujanja.