Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
imeelezwa kuwa uwezo wa Urusi kubadili mbinu katikati ya mzozo imeipa nguvu kubwa ya kupambana na silaha ilizopatiwa Ukraine ambazo zinatumia GPRS ili kupata shabaha zake.
Mwanzoni Urusi ilikuwa inatumia mitambo mikubwa kwa ajili ya kazi hiyo ambayo ilikuwa ikitembea katikati ya msururu wa magari yakej ya kivita.Baadhi ya magari hayo yaliwahi kutekwa na adui na kuinyima uwezo huo wa kuzizima silaha za adui.
Kwa sasa Urusi imetengeneza vitambo vidogo vidogo ambavyo huwa vinabebwa na vikundi vidogo vidogo vya askari.vifaa hivyo katika siku za karibuni vimeweza kuzizima silaha za Marekani yakiwemo HIMARS ambapo vimeshindwa kabisa kupiga shabaha alipo adui.
Mwanzoni Urusi ilikuwa inatumia mitambo mikubwa kwa ajili ya kazi hiyo ambayo ilikuwa ikitembea katikati ya msururu wa magari yakej ya kivita.Baadhi ya magari hayo yaliwahi kutekwa na adui na kuinyima uwezo huo wa kuzizima silaha za adui.
Kwa sasa Urusi imetengeneza vitambo vidogo vidogo ambavyo huwa vinabebwa na vikundi vidogo vidogo vya askari.vifaa hivyo katika siku za karibuni vimeweza kuzizima silaha za Marekani yakiwemo HIMARS ambapo vimeshindwa kabisa kupiga shabaha alipo adui.