Eleza vimbwanga ulivyowahi kukutana navyo hospitali, vituo vya afya na zahanati

Eleza vimbwanga ulivyowahi kukutana navyo hospitali, vituo vya afya na zahanati

Messenger RNA

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
1,411
Reaction score
3,712
- Katika hospitali ya rufaa kabisa, madaktari waliokuwa zamu walikuwa wanasoma dalili za ugonjwa kwenye internet na YouTube, nilichoka sana lakini kwa bahati mgonjwa wetu alipona tulipewa daktari ambaye alikuwa ni professional zaidi. Lakini yule mgonjwa waliyekuwa wanamsomea sidhani kama alipona.

- Kituko cha pili,tulimpeleka mgonjwa kituo cha afya, badala ya kupokewa mapokezi tukapokewa na mlinzi, mlinzi akataka kumueleze namna mgonjwa anavyojisikia na dalili nikachoka sana, maana kazi yake ni ulinzi sio udaktari.

Tupe kituko ulichowahi kukutana nacho
 
Acheni watu wafanye kazi ,mnajua ni kiasi Gani hao wataalamu wanapata secondary Trauma kutokana na Shida zenu ?
Kwahiyo wanajifunzia mbele ya mgonjwa,wako serious kweli,maarifa wanaweza pata kwa kusoma wakiwa off.
 
Kuna tatizo gani daktari kupata maarifa kwenye mtandao? Medicine haina mwisho, mambo hubadilika kila siku so kujifunza sio jambo baya. Pia kuna kesi hukutani nazo mara kwa mara kwahiyo kuna vitu kujikumbusha sio mbaya.
Maarifa hatukatai hayana mwisho lakini kusoma mbele ya mgonjwa kunamkosesha mgonjwa matumaini ya kupona kwasababu anakuwa anajua ameletewa wanafunzi wajifunzie kwake.
 
Niliwai enda hospital moja miaka iyo sisi wa darasa la saba vijijini hatujawai ijua hospital. Yule nesi akasema aya vua iyo suruali tukuchome sindano. Ilinishangaza sana mwanamke kutaka kuona matako ya mwanaume.
Umenikumbusha kitambo hicho vijijini ilikuwa noma sana,mwanamke aone kalio,hahaha noma sana.
 
- Katika hospitali ya rufaa kabisa, madaktari waliokuwa zamu walikuwa wanasoma dalili za ugonjwa kwenye internet na YouTube, nilichoka sana lakini kwa bahati mgonjwa wetu alipona tulipewa daktari ambaye alikuwa ni professional zaidi. Lakini yule mgonjwa waliyekuwa wanamsomea sidhani kama alipona.

- Kituko cha pili,tulimpeleka mgonjwa kituo cha afya, badala ya kupokewa mapokezi tukapokewa na mlinzi, mlinzi akataka kumueleze namna mgonjwa anavyojisikia na dalili nikachoka sana, maana kazi yake ni ulinzi sio udaktari.

Tupe kituko ulichowahi kukutana nacho
We kwa akili yako fupi unafikiri kuwa daktari haruhusiwi kusoma kwenye Internet hapo anaoongeza maarifa wala hamna ubaya wowote

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Swala la kusoma kweny internet sio vimbwanga kama haupo kweny kazi basi tambua watu wote wanatoa vitu kweny internet hata kama hujui izo hotuba unakuta Kuna vitu vinatolewa kwa hotuba nyingine kweny mitandao na kufanyiwa edit kama hata research wanakubli basi Haina shida

Kimbwanga ni icho tukienda mochwari bombo Tanga tukamkuta mzee mfupi anaongea mwenyewe ni mlinzi sijui muhudumu kavaa mabuti Yale plastic kama watu wa kulisha ng'ombe au kaktia majanii ,watu wa idara maji wanayo ya kijani wa pale tukaingia nae mpaka ndani uncle kasema aliteta maiti ya mzee fulani na anajua iliwekwa kabati kama la tatu row ya pili kulikuwa na row kama tatu basi yule mzee ni mbishi anatufunulia maiti za waizi wamekufa vibaya we acha tu nilitokea nikamwacha uncle nusu tu wakorofishane maana uncle anavuta bangi hapedi ujinga
 
Huyo dakitari wa kwenye internet atakuwa huyu aliyepelekwa mahakamani na yule dada.

Alihamdulilah sijakutana na vimbwanga mbali ya yule dakitari rafiki wa siku nyingi niliyempigia simu nimsabahi hakupokea, baada ya siku kadhaa kupita ananiuliza ulikuwa na shida gani,
 
Swala la kusoma kweny internet sio vimbwanga kama haupo kweny kazi basi tambua watu wote wanatoa vitu kweny internet hata kama hujui izo hotuba unakuta Kuna vitu vinatolewa kwa hotuba nyingine kweny mitandao na kufanyiwa edit kama hata research wanakubli basi Haina shida

Kimbwanga ni icho tukienda mochwari bombo Tanga tukamkuta mzee mfupi anaongea mwenyewe ni mlinzi sijui muhudumu kavaa mabuti Yale plastic kama watu wa kulisha ng'ombe au kaktia majanii ,watu wa idara maji wanayo ya kijani wa pale tukaingia nae mpaka ndani uncle kasema aliteta maiti ya mzee fulani na anajua iliwekwa kabati kama la tatu row ya pili kulikuwa na row kama tatu basi yule mzee ni mbishi anatufunulia maiti za waizi wamekufa vibaya we acha tu nilitokea nikamwacha uncle nusu tu wakorofishane maana uncle anavuta bangi hapedi ujinga
Hatukatai kusoma kwenye internet lakini muda wa huduma sio wa kusoma ni muda wa kuhudumia mgonjwa,na ikiwezekana tafuta muda kusoma,kusoma mbele ya mgonjwa ni kama wale mafundi simu wa kariakoo anasema anajua kutengeneza halafu unamwona kainama anacheki namna ya kuitengeneza YouTube,inashusha imani ya uwezo wako.
 
- Katika hospitali ya rufaa kabisa, madaktari waliokuwa zamu walikuwa wanasoma dalili za ugonjwa kwenye internet na YouTube, nilichoka sana lakini kwa bahati mgonjwa wetu alipona tulipewa daktari ambaye alikuwa ni professional zaidi. Lakini yule mgonjwa waliyekuwa wanamsomea sidhani kama alipona.

- Kituko cha pili,tulimpeleka mgonjwa kituo cha afya, badala ya kupokewa mapokezi tukapokewa na mlinzi, mlinzi akataka kumueleze namna mgonjwa anavyojisikia na dalili nikachoka sana, maana kazi yake ni ulinzi sio udaktari.

Tupe kituko ulichowahi kukutana nacho
Ooh🤨
 
Mkuu kwani ulikuwa unachungulia kwenye kompyuta ya daktari hadi ujue alikuwa kaingia upya darasani, internet imerahisisha mambo kwa ajili ya kufanya quick reference na siyo kwamba ndo anakuwa anaanza kujifunza. Ile kujua kwamba ni wapi unaweza kupata maarifa zaidi ndo elimu yenyewe, maana ukijua mambo anayosoma daktari kwa miaka mitano sidhani kama anacho hicho kichwa cha kuyaweka yote kichwani. Kwa hiyo daktari anayefanya reference ndo daktari mzuri zaidi maana anataka kuhakikisha yupo sahihi kwa kile ambacho tayari alishakijua.​
 
Unaenda kituo cha afya una mgonjwa wako, unafika unaambiwa mtandao hamna..hatutibu mtu bila mtandao

WHAT THE F*** Yaani wanaacha kutibu mtu kwanza wanawaza mpaka mtandao eti urudi
 
Unekwenda hospitali tena rufaa ya mkoa unapokelewa na muuguzi kisha anakuhudumia kwa kukuandikia dawa kama vile daktari
 
Back
Top Bottom