Eleza vimbwanga ulivyowahi kukutana navyo hospitali, vituo vya afya na zahanati

Eleza vimbwanga ulivyowahi kukutana navyo hospitali, vituo vya afya na zahanati

Kuna site kama Mayo ni kawaida madaktari kuipitia,ujue duniani kuna maginjwa mengi sana na mengine yanaibuka kila siku.elimu haina mwisho
Kwanini wasiwe wanapiga msuli ofisini na kisha wanakuja kuhudumia na cha kusikitisha ni hospitali ya rufaa tunayoamini ni wabobezi.
 
wengi hawakuelewi ila ukweli kwamba ukiwa unamueleza dokta ugonjwa akaanza kuperuzi mtandaoni ile moral ya kumuamini inapungua sana

Nilishaenda hospital moja foleni ilikua kali sana kumbe dokta kila ugonjwa anapekua kwenye makaratasi yao(likitabu kubwa). Ukishapima ukarudisha majibu inamchukua robo saa anapekua jina la dawa za ugonjwa uliokutwa nao. Na hataki maswali zaidi kuhusu ugonjwa husika

Mwingine ukifika tu ukataja dalili kuwa kichwa na tumbo basi utaandikiwa vipimo malaria,mkojo,choo kubwa
 
- Katika hospitali ya rufaa kabisa, madaktari waliokuwa zamu walikuwa wanasoma dalili za ugonjwa kwenye internet na YouTube, nilichoka sana lakini kwa bahati mgonjwa wetu alipona tulipewa daktari ambaye alikuwa ni professional zaidi. Lakini yule mgonjwa waliyekuwa wanamsomea sidhani kama alipona.

- Kituko cha pili,tulimpeleka mgonjwa kituo cha afya, badala ya kupokewa mapokezi tukapokewa na mlinzi, mlinzi akataka kumueleze namna mgonjwa anavyojisikia na dalili nikachoka sana, maana kazi yake ni ulinzi sio udaktari.

Tupe kituko ulichowahi kukutana nacho
Kama Kufanya reference ya signs and symptoms mtandaoni unaona kuwa ni kituko basi na wewe ukiwa unaumwa au una mgonjwa just ingia youtube usome umtibu usimpeleke kwa hao wanaofanya what u say ni "vituko"
Medical field ni pana na ambayo inakuwa na updates kila siku. As a professional doctor huwez kurely only na ulichosoma chuoni lakini pia due to its diversity and broadness, u just cant remember or be sure of everything,..at some point u will have to make a reference ili kutoa tiba sahihi kwa mgonjwa.
 
Ofisini kwao ndio hapo ulipowakuta,elimu haina mipaka,niwapongeze hao madaktari wako makini
Tena wapo makini haswa coz hawataki kufanya maamuzi bila ya kuwa sure na ugonjwa husika. Tunafundishwa kuepuka kutoa tiba bila ya kuwa na uhakika lakini pia sio dhambi kufanya reference or asking for assistance when needed.
 
I think mtu ku-question daktari kupitia notes ni very ireational mindset. Kama umewahi kufanya kazi ma wazungu wakija Africa, most times wanapitia vitabu vyao plus phones, na hapo wabongo wanashadadia na kufurahia kutibiwa na mdhungu.
Kama huna idea na medical field, vitu vingi utaona kama havieleweki, lakini laiti ungejua what medical personel go through usingekua unabonga kienyeji enyeji.
Tena kwa nchi kama yetu, daktari anaona wagonjwa wengi zaidi ya uwezo wake na wote wanategemea aweze kuwatibu bila shida, na waginjwa wanasahu kuwa huyi ni binadam na anapitia changamoto zake za kibinadam.
Tuweni wastaarabu!
 
wengi hawakuelewi ila ukweli kwamba ukiwa unamueleza dokta ugonjwa akaanza kuperuzi mtandaoni ile moral ya kumuamini inapungua sana

Nilishaenda hospital moja foleni ilikua kali sana kumbe dokta kila ugonjwa anapekua kwenye makaratasi yao(likitabu kubwa). Ukishapima ukarudisha majibu inamchukua robo saa anapekua jina la dawa za ugonjwa uliokutwa nao. Na hataki maswali zaidi kuhusu ugonjwa husika

Mwingine ukifika tu ukataja dalili kuwa kichwa na tumbo basi utaandikiwa vipimo malaria,mkojo,choo kubwa
Hiyo paragraph ya mwisho, mfano wew ulitaka uandikiwe Vipimo gani? Tofauti na hivyo.
Tusaidie.
 
wengi hawakuelewi ila ukweli kwamba ukiwa unamueleza dokta ugonjwa akaanza kuperuzi mtandaoni ile moral ya kumuamini inapungua sana

Nilishaenda hospital moja foleni ilikua kali sana kumbe dokta kila ugonjwa anapekua kwenye makaratasi yao(likitabu kubwa). Ukishapima ukarudisha majibu inamchukua robo saa anapekua jina la dawa za ugonjwa uliokutwa nao. Na hataki maswali zaidi kuhusu ugonjwa husika

Mwingine ukifika tu ukataja dalili kuwa kichwa na tumbo basi utaandikiwa vipimo malaria,mkojo,choo kubwa
Mgonjwa anaona kabisa hapa hakuna daktari na kuanza kukata tamaa ya kuishi.
 
Kama Kufanya reference ya signs and symptoms mtandaoni unaona kuwa ni kituko basi na wewe ukiwa unaumwa au una mgonjwa just ingia youtube usome umtibu usimpeleke kwa hao wanaofanya what u say ni "vituko"
Medical field ni pana na ambayo inakuwa na updates kila siku. As a professional doctor huwez kurely only na ulichosoma chuoni lakini pia due to its diversity and broadness, u just cant remember or be sure of everything,..at some point u will have to make a reference ili kutoa tiba sahihi kwa mgonjwa.
Vipi tuchukulie mfano kifaa ulichonunua kwa mamilioni unaenda kwa mtu nayejiita fundi mbobezi na ukaona anaanza kupekua mtandaoni ili atengeneze tena anauliza uliza wenzie vipi utakuwa na imani naye,je hiyo si inamaanisha tatizo ndo anaanza kuliona hapo kwa mara ya kwanza?.
 
Vipi tuchukulie mfano kifaa ulichonunua kwa mamilioni unaenda kwa mtu nayejiita fundi mbobezi na ukaona anaanza kupekua mtandaoni ili atengeneze tena anauliza uliza wenzie vipi utakuwa na imani naye,je hiyo si inamaanisha tatizo ndo anaanza kuliona hapo kwa mara ya kwanza?.
Usione haya kuuliza au kujifunza ,thats how we learn
 
Tena wapo makini haswa coz hawataki kufanya maamuzi bila ya kuwa sure na ugonjwa husika. Tunafundishwa kuepuka kutoa tiba bila ya kuwa na uhakika lakini pia sio dhambi kufanya reference or asking for assistance when needed.
Jamaa haelewi umuhimu wa internet
 
Kwanini wasiwe wanapiga msuli ofisini na kisha wanakuja kuhudumia na cha kusikitisha ni hospitali ya rufaa tunayoamini ni wabobezi.
ofisini anakuwa na mgonjwa? kuna vitu lazima ajikumbushe tuu ... kuna site kama mayo n.k watu wana publish kila leo .

medicine haiko stagnant .. condition ziko nyingi ,, worse enough condition zingine zinaibuka ambazo Dr huyu hajawahi kuzisoma akiwa shule. eg covid19.

Dr mzuri ni yule anayefanya refference na kujisomea kila inapobidi kufanya hivyo.

Asee hao jamaa rudi kawapongeze hawakutaka kubahatisha.
 
ofisini anakuwa na mgonjwa? kuna vitu lazima ajikumbushe tuu ... kuna site kama mayo n.k watu wana publish kila leo .

medicine haiko stagnant .. condition ziko nyingi ,, worse enough condition zingine zinaibuka ambazo Dr huyu hajawahi kuzisoma akiwa shule. eg covid19.

Dr mzuri ni yule anayefanya refference na kujisomea kila inapobidi kufanya hivyo.

Asee hao jamaa rudi kawapongeze hawakutaka kubahatisha.


Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Nadhani ameelewa sasa
 
Vipi tuchukulie mfano kifaa ulichonunua kwa mamilioni unaenda kwa mtu nayejiita fundi mbobezi na ukaona anaanza kupekua mtandaoni ili atengeneze tena anauliza uliza wenzie vipi utakuwa na imani naye,je hiyo si inamaanisha tatizo ndo anaanza kuliona hapo kwa mara ya kwanza?.
Usimpeleke mgonjwa wako huko hospitali .. na wewe ingia you tube upitie kisha mpe dawa.
 
Kuna tatizo gani daktari kupata maarifa kwenye mtandao? Medicine haina mwisho, mambo hubadilika kila siku so kujifunza sio jambo baya. Pia kuna kesi hukutani nazo mara kwa mara kwahiyo kuna vitu kujikumbusha sio mbaya.
Huyo hajui chochote achana naye
 
ofisini anakuwa na mgonjwa? kuna vitu lazima ajikumbushe tuu ... kuna site kama mayo n.k watu wana publish kila leo .

medicine haiko stagnant .. condition ziko nyingi ,, worse enough condition zingine zinaibuka ambazo Dr huyu hajawahi kuzisoma akiwa shule. eg covid19.

Dr mzuri ni yule anayefanya refference na kujisomea kila inapobidi kufanya hivyo.

Asee hao jamaa rudi kawapongeze hawakutaka kubahatisha.
Siwezi wapongeza maana wanakuwa kama ndio mara yao ya kwanza kuuona huo ugonjwa,ni kama ugonjwa mpya kitu ambacho sio kweli.
 
Back
Top Bottom