Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Ndiyo,si unaona anamke kabisa kamzidishia chumvi kwenye chakula........[emoji23][emoji23] kwamba ni dingi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo,si unaona anamke kabisa kamzidishia chumvi kwenye chakula........[emoji23][emoji23] kwamba ni dingi kabisa
Mwamba anafanya kusudi,sio kwamba kakosa muda wa kuandika vizuriKwan ungekaa kwa kutulia na kuandika vizuri ungepungukiwa nn??
Kuna watanzania wajinga kama wewe
Huyu kavuka minyau (mipaka)Mwamba anafanya kusudi,sio kwamba kakosa muda wa kuandika vizuri
Ntavinzia mpate kabinti,na Mimi nioeBiti mkongwe nilete mahari nikuoe basi. Toto la kiarabu wewe.
Yakhe mimi siwezi kuweka ndoo ya maji kichwani, kulima siwezi wala kupika ugali sasa si utakuja kunisema humu kwenye mtandao? Naogopa nikienda ukweni nitatimuliwa siku hiyo ya kwanza tu.Biti mkongwe nilete mahari nikuoe basi. Toto la kiarabu wewe.
Kama hamuwezani njoo kwangu,nitashindia msuli muda wote,swala tano, siendi bar,nacheza bao muda wote,utabaki Kama pambo ndani,ni kunizalia tu hahahYakhe mimi siwezi kuweka ndoo ya maji kichwani, kulima siwezi wala kupika ugali sasa si utakuja kunisema humu kwenye mtandao? Naogopa nikienda ukweni nitatimuliwa siku hiyo ya kwanza tu.
Babu yangu niliye naye yeye hana shida ugali anajipikia mwenyewe.
Pole naona mafua ya nakusumbua sana.Abali.nachukuha nafagi iyi kuwafakiya elii yasiku kuu yapasaka na mwakamupya.
Kwagu himerera mujikeri kidodo kwafababu.mukeewangu hamenipigiya chakura chene chuvi jigi.
Sijaranimemupa era awende jupamaketi akanunue kudid fudii.
Chakurawatakura wawo gesho ira lewo tuhakula vhajupamaketi.
Nimefulaimnoo kwasababu leomuke wangu hanadimiza myaka ishilinanne.
Nisiku yafu.,laa
Nimeg.ulahii
Babu yangu niliye naye anatosha Wallahi, hana shida na mtu sasa kwa nini nimkimbie?Kama hamuwezani njoo kwangu,nitashindia msuli muda wote,swala tano, siendi bar,nacheza bao muda wote,utabaki Kama pambo ndani,ni kunizalia tu hahah
Sorry man nilidhani niko kwenye uzi wa analyze kumbe nikajichanganya nikaingia kwenye uzi wa huyu mpuuzi....Siwezi stay na upinde kama wew
Eee Babu mume au Babu halisi hahah,hatuna ubaya wowote,kuendeleza Koo muhimuBabu yangu niliye naye anatosha Wallahi, hana shida na mtu sasa kwa nini nimkimbie?
Nyinyi vijana wabaya sana
Ondoa shaka mkuu sikukuu njemaSorry man nilidhani niko kwenye uzi wa analyze kumbe nikajichanganya nikaingia kwenye uzi wa huyu mpuuzi....
Abana nadani anakifuha tusamehe mwedetuKwan ungekaa kwa kutulia na kuandika vizuri ungepungukiwa nn??
[emoji23][emoji23][emoji23] hili jitu jinga kweliHahahaaaaa weweeee! Home of great thinkers
Na wewe ni Dr yupi tena?Abali.nachukuha nafagi iyi kuwafakiya elii yasiku kuu yapasaka na mwakamupya.
Kwagu himerera mujikeri kidodo kwafababu.mukeewangu hamenipigiya chakura chene chuvi jigi.
Sijaranimemupa era awende jupamaketi akanunue kudid fudii.
Chakurawatakura wawo gesho ira lewo tuhakula vhajupamaketi.
Nimefulaimnoo kwasababu leomuke wangu hanadimiza myaka ishilinanne.
Nisiku yafu.,laa
Nimeg.ulahii