Eli ya paasaka wakiliitu wote

Eli ya paasaka wakiliitu wote

Biti mkongwe nilete mahari nikuoe basi. Toto la kiarabu wewe.
Yakhe mimi siwezi kuweka ndoo ya maji kichwani, kulima siwezi wala kupika ugali sasa si utakuja kunisema humu kwenye mtandao? Naogopa nikienda ukweni nitatimuliwa siku hiyo ya kwanza tu.

Babu yangu niliye naye yeye hana shida ugali anajipikia mwenyewe.
 
Yakhe mimi siwezi kuweka ndoo ya maji kichwani, kulima siwezi wala kupika ugali sasa si utakuja kunisema humu kwenye mtandao? Naogopa nikienda ukweni nitatimuliwa siku hiyo ya kwanza tu.

Babu yangu niliye naye yeye hana shida ugali anajipikia mwenyewe.
Kama hamuwezani njoo kwangu,nitashindia msuli muda wote,swala tano, siendi bar,nacheza bao muda wote,utabaki Kama pambo ndani,ni kunizalia tu hahah
 
Abali.nachukuha nafagi iyi kuwafakiya elii yasiku kuu yapasaka na mwakamupya.

Kwagu himerera mujikeri kidodo kwafababu.mukeewangu hamenipigiya chakura chene chuvi jigi.

Sijaranimemupa era awende jupamaketi akanunue kudid fudii.

Chakurawatakura wawo gesho ira lewo tuhakula vhajupamaketi.

Nimefulaimnoo kwasababu leomuke wangu hanadimiza myaka ishilinanne.
Nisiku yafu.,laa

Nimeg.ulahii
Pole naona mafua ya nakusumbua sana.
 
Abali.nachukuha nafagi iyi kuwafakiya elii yasiku kuu yapasaka na mwakamupya.

Kwagu himerera mujikeri kidodo kwafababu.mukeewangu hamenipigiya chakura chene chuvi jigi.

Sijaranimemupa era awende jupamaketi akanunue kudid fudii.

Chakurawatakura wawo gesho ira lewo tuhakula vhajupamaketi.

Nimefulaimnoo kwasababu leomuke wangu hanadimiza myaka ishilinanne.
Nisiku yafu.,laa

Nimeg.ulahii
Na wewe ni Dr yupi tena?
 
Back
Top Bottom