Uchaguzi 2020 Elia Michael: Nimejaza na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Jimbo la Buyungu

Uchaguzi 2020 Elia Michael: Nimejaza na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Jimbo la Buyungu

Katika maisha ogopa Sana kuipoteza cv na heshima yako kwa Jamii.Linda Sana ulichonacho utajua thamani yake kikishaondoka.
Mfano wanawake wanalilia ndoa Mungu anawapa ndoa wakishazipata wanaanza zivuruga ndoa,wanajiinua kiburi, dharau nk ndoa inakufa then unawakuta wanalia makanisani,au kupeleka kuku kulisha familia za waganga Hali wao wanashinda njaa.Umelilia kazi miaka umeipata unaanza kuchezea kazi,
Kwa herufi kubwa.
LINDA SANA ULICHONACHO SASA
Tuwekee picha hata moja tu ya mwanamke aliyeachwa anayelilia ndoa
 
Back
Top Bottom