Uchaguzi 2020 Elia Michael: Nimejaza na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Jimbo la Buyungu

Uchaguzi 2020 Elia Michael: Nimejaza na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Jimbo la Buyungu

Hahaha hahaha kwa uwezo UPI?

Chadema walimpa platform ajijenge yeye kabla hajakomaa akanyea kambi na kusaliti movement, sasa aibu aliyoipata ni pigo tosha..kama ana mpenda sana jiwe akamfulie nguo sasa.

[SUP]Kalifikri kuwa katakusanya mafuriko kama enzi kako CHADEMA![/SUP]
 
Waliosaliti majasho na pesa za waliowaunga mkono wooote wamelipwa laana na aibu.. Hivi vijamaa vinawenge LA maisha.
Labda kakauze bange, Mawese hakana mtaji! Shenzy Mungu amenilipia, tulikachangia sana aiseeee kipindi, niliongoza kampeni ya kumchangia kwenye kampeni kipindi kile, nilivyosikia amehama nilighadhibika mno
 
Waliosaliti majasho na pesa za waliowaunga mkono wooote wamelipwa laana na aibu.. Hivi vijamaa vinawenge LA maisha.
*WAHAMIAJI HARAMU.*

1) Maulid Mtulia 🛠
2) Abdallah Mtolea 🛠
3) Peter Lijualikali 🛠
4) David Silinde 🛠
5) Joshua Nassari 🛠
6) Patrobas Katambi 🛠
7) Paulina Gekul 🛠
8) Kalist Lazaro 🛠
9) Albert Msando 🛠
10) Elia Michael 🛠️
11) Kalanga 🛠
12) Mashinji 🛠
14) Mwambe 🛠
15) Marwa Ryoba🛠
 
Hivi huyu alishafungua thread nyingine kutoa mrejesho on how on earth “mbunge nje ya ubunge” anapata kura 2 (moja, mbili..)?
 
Hahahhaha spana za kichwa, spana za shingo, spana za roho..
.. Mpaka wamedebweda.

Hahahaha ONCE A SNITCH ALWAYS A SNITCH.


Upinzani uliwapenda ukawapigania , ccm imewachukia na imewaaibisha vibaya sana.


Sijui wake zao wana waonaje wanaume wa sampuli hizi!!
*WAHAMIAJI HARAMU.*

1) Maulid Mtulia [emoji1009]
2) Abdallah Mtolea [emoji1009]
3) Peter Lijualikali [emoji1009]
4) David Silinde [emoji1009]
5) Joshua Nassari [emoji1009]
6) Patrobas Katambi [emoji1009]
7) Paulina Gekul [emoji1009]
8) Kalist Lazaro [emoji1009]
9) Albert Msando [emoji1009]
10) Elia Michael [emoji1009]️
11) Kalanga [emoji1009]
12) Mashinji [emoji1009]
14) Mwambe [emoji1009]
15) Marwa Ryoba[emoji1009]
 

Attachments

  • IMG-20200722-WA0104.jpg
    IMG-20200722-WA0104.jpg
    25.3 KB · Views: 1
  • IMG-20200722-WA0105.jpg
    IMG-20200722-WA0105.jpg
    43.2 KB · Views: 1
  • IMG-20200722-WA0085.jpg
    IMG-20200722-WA0085.jpg
    26.8 KB · Views: 1
  • IMG-20200722-WA0095.jpg
    IMG-20200722-WA0095.jpg
    45.5 KB · Views: 1
Elia Michael nadhani sasa umeshika adabu na kuijua CCM ni nini na jinsi gani inavyo kuthamini.

Mbwembwe za kukupokea hazikuwa za kukupenda bali kuwaumiza ulikotoka tuu basi, kisha wewe kuwa takataka.
Na mshahara wa mwezi huu hapati
 
Dogo nenda katika kituo chako cha kazi uendellee na kazi uafisa mtendaji kata na suti zako zile zina zenye kitambaa kigumu kama turubai
 
*WAHAMIAJI HARAMU.*

1) Maulid Mtulia 🛠
2) Abdallah Mtolea 🛠
3) Peter Lijualikali 🛠
4) David Silinde 🛠
5) Joshua Nassari 🛠
6) Patrobas Katambi 🛠
7) Paulina Gekul 🛠
8) Kalist Lazaro 🛠
9) Albert Msando 🛠
10) Elia Michael 🛠
11) Kalanga 🛠
12) Mashinji 🛠
14) Mwambe 🛠
15) Marwa Ryoba🛠
Kafulila
 
Back
Top Bottom