Elia Mpanzu acha kucheza na majukwaa utapotea kama moshi hewani,,vinginevyo ubora wako nauona wa kawaida bali ulibebwa na vyombo vya habari!

Elia Mpanzu acha kucheza na majukwaa utapotea kama moshi hewani,,vinginevyo ubora wako nauona wa kawaida bali ulibebwa na vyombo vya habari!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Uyu mpanzu namuona ni mchezaji machachari na sio Bora,,namuona anapenda kucheza Mpira wa sifa badala ya team work!
Anajaribu kuutafuta ufalme wake kwa nguvu matokeo yake anaharibu,,Kila Mpira anaougusa ata kama ayuko kwenye nafasi nzuri ya kufunga yeye anataka kupiga golini ili aendelee kuimbwa akifunga!
Ninamuona anacheza sana na majukwaa tunampa tahadhali aache hizo mambo atapotea muda si mrefu kama mwenzake Joshua mutale!
Ngoja tumuangalie mechi nyingine 5 tutayapata majibu ya ubora wake lakini mpaka sasa ni mchezaji anayecheza sana na majukwaa,,mpenda sifa kitu ambacho kitamgharimu!
 
Uyu mpanzu namuona ni mchezaji machachari na sio Bora,,namuona anapenda kucheza Mpira wa sifa badala ya team work!
Anajaribu kuutafuta ufalme wake kwa nguvu matokeo yake anaharibu,,Kila Mpira anaougusa ata kama ayuko kwenye nafasi nzuri ya kufunga yeye anataka kupiga golini ili aendelee kuimbwa akifunga!
Ninamuona anacheza sana na majukwaa tunampa tahadhali aache hizo mambo atapotea muda si mrefu kama mwenzake Joshua mutale!
Ngoja tumuangalie mechi nyingine 5 tutayapata majibu ya ubora wake lakini mpaka sasa ni mchezaji anayecheza sana na majukwaa,,mpenda sifa kitu ambacho kitamgharimu!
Nani karuhusu vichaa kama nye kutoa maoni humu?
 
P
Uyu mpanzu namuona ni mchezaji machachari na sio Bora,,namuona anapenda kucheza Mpira wa sifa badala ya team work!
Anajaribu kuutafuta ufalme wake kwa nguvu matokeo yake anaharibu,,Kila Mpira anaougusa ata kama ayuko kwenye nafasi nzuri ya kufunga yeye anataka kupiga golini ili aendelee kuimbwa akifunga!
Ninamuona anacheza sana na majukwaa tunampa tahadhali aache hizo mambo atapotea muda si mrefu kama mwenzake Joshua mutale!
Ngoja tumuangalie mechi nyingine 5 tutayapata majibu ya ubora wake lakini mpaka sasa ni mchezaji anayecheza sana na majukwaa,,mpenda sifa kitu ambacho kitamgharimu!
Punguza mhemko
 
Simba wanajua kumpigia propaganda mchezaji akaonekana ni level ya Mbape. Sitasaha wakati wa kumsajili Che Maloni na Ngoma kwa kweli niliogopa sana. Ukuta wa Babeli
 
Nyani fc bna akifanya chama sawa
Akifanya mpanzu atapotea
Chomoa mwiko huko nyuma bila machozi
1000211276.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Hawa gongowazi ukiona wameanza kuishauri Simba kuhusu wachezaji wake basi jua mavi yao yanagonga chupi zao.Timu yao ipo hoi taabani na imekuwa mgawa utamu wa kundi lao la CAF wao wapo bize na Simba.
Manara pamoja na ukichaa wake alisema kweli aliposema wenye akili ni wawili tu.Baba yake na Kikwete.
Zingatia sio wengine ni wajinga au hawaelewi hapana ni HAWANA AKILi.
 
Back
Top Bottom