Elia Mpanzu acha kucheza na majukwaa utapotea kama moshi hewani,,vinginevyo ubora wako nauona wa kawaida bali ulibebwa na vyombo vya habari!

Maxence melo vichaa kama hawa unawaruhusu vipi kujiunga jamiiforums? Siku vichaa vyao vikipanda wanaweza kutembea uchi na kuchoma watu visu.
 
Jukwaa linacheza na Mpanzu(kushangilia bila sababu msingi)au Mpanzu ndiye anacheza nalo?Acha kumsingizia.Halafu,furaha ya mpira ni nini kwani?Acha kukasirika kwa mambo madogoadogo.
 
Azizi ki class yake unamlinganisha na uyo mpanzu wenu,,kumbuka class aishuki bali form ndio inayoshuka,,acha kuwalinganisha maana utakuwa unajivua nguo tu
Mmoja hana match fitness amekaa nje ya uwanja due to taratibu za usajili. Itqchukua muda, aziz ki ilimchukua almost msimu kuja kushika moto
Halaf ni wachezaji wawili tofauti and position tofauti na aina ya uchezaji tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…